Kongwa vs Hai ,wapi kuna maendeleo?

nDUGA
 
Hai imewahi kutajwa kiwa the most developed district in Tanzania hwa kufuata vigezo vya maendeleo....

Wilaya nyingine za Moshi zikifuatia....

Hichi ndicho kilimtesa Sana mwendazake akadhani anaweza kugeuza mizania kwa kutumia msuli., Na mabavu....moja ya dhaifu kubwa Sana.

Kumbe mabadiliko sio siku moja....ni perceprions na utayari wa wananchi kuwa sehemu ya maendeleo pia
 
Ni kufananisha London na Kibaha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…