kweli thamani ya KONDOO ni mkia wake...na nyumba bila choo haijakamilika...Hapana niko na wake zangu cacico na Yummy tunaenda hospitali kumcheki BADILI TABIA. Anatarajia kujifungua leo jioni.
kweli thamani ya KONDOO ni mkia wake...na nyumba bila choo haijakamilika...
samahani wanandoa mkono uliteleza,af sina wivu hata kidogo nawewe labda angekuwa my P.Afu ni cacico siyo cacio, mtake razi mke wangu. Sasa hapo unamwonea wivu au unanionea wivu??
mmh...we mwanamke kungwi nini...maana unajua kufundisha,...
na mm nataka unifundishe..
Huyo P ndo unatamba naye? Si ndo anatokaga na princess enny huyo? STUKA!!samahani wanandoa mkono uliteleza,af sina wivu hata kidogo nawewe labda angekuwa my P.
Na mgeni bila hoteli atakula wapi?
Kumbe ndo unajua leo?ma milk nje nje mwe! licha ya kuwa jambazi nahisi proff yako nyingine ni mpiga photo maarufu wa mademu
teh teh teh!!!! Asprin usintaftie kesi kwa ummu kulthum
amiina!! endeleeni mumy!! khaaa!!hayo ni maneno tu hata kwenye kanga yapo mimi na P daima milele
Mpelelezi wa tukio atakuwa OC-CID Nyani Ngabu:
Mahojiano:
Nn: Mtuhumiwa haki zako unazijua?
Bilionea bishanga: siongei chochote mpaka wakili wangu kloro awepo
Nn: sasa mbona unaongea?
Kongosho: unaulizwa na afande,mbona unaongea
Bilionea bishanga: hivi we mwanamke una nini na mimi mbona unanifuatafuata?
Nn: kwani mnafahamiana?
Bilionea bishanga: tangu utotoni,nilisoma naye uhuru mchanganyiko,kisha akaenda kisutu mi tambaza baadae tukakutana UDSM.
Nn: ya kweli konnie?
kongosho: afande, si hilo tu,hata bikra alintoa bishanga
NN: he?
Bilionea bishanga: unashangaa nini? Hata mkeo nilimuanza mie
Wacha valangati lifumuke,meza huko,viti huko,crown huko,ofisi nyanga nyanga.
sweetheart,yaani leo ndo nimeamini unanipenda,yaani unavyonilinda dhidi ya maadui we acha tu.hapo mtoe Bishanga mweke hata Nyani ngabu
Mpelelezi wa tukio atakuwa OC-CID Nyani Ngabu:
Mahojiano:
Nn: Mtuhumiwa haki zako unazijua?
Bilionea bishanga: siongei chochote mpaka wakili wangu kloro awepo
Nn: sasa mbona unaongea?
Kongosho: unaulizwa na afande,mbona unaongea
Bilionea bishanga: hivi we mwanamke una nini na mimi mbona unanifuatafuata?
Nn: kwani mnafahamiana?
Bilionea bishanga: tangu utotoni,nilisoma naye uhuru mchanganyiko,kisha akaenda kisutu mi tambaza baadae tukakutana UDSM.
Nn: ya kweli konnie?
kongosho: afande, si hilo tu,hata bikra alintoa bishanga
NN: he?
Bilionea bishanga: unashangaa nini? Hata mkeo nilimuanza mie
Wacha valangati lifumuke,meza huko,viti huko,crown huko,ofisi nyanga nyanga.
sweetheart,yaani leo ndo nimeamini unanipenda,yaani unavyonilinda dhidi ya maadui we acha tu.