Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,696
- 218,214
- Thread starter
- #41
Amri halali ya mwendazake kuhusu uvaaji barakoa bado haijaondolewa.Haya tumekusikia na Baraza lako Kabambe la Afrika BAVICHA. Vipi mbona hamjavaa barakoa?
Hilo ni ingizo jipya la uvccm kwenye mitandao kwa ajili ya kusifu na kuabudu, hivyo anajitahidi ili na yeye asiachwe nyuma na wenzake kina yohana mbatizajidogo wewe kwann lakini
Inauma sana. Usimwamini mwanamke 100 kwa 100 .Namuona Twaha hapo. Walifungwa wawili yeye na Nusrat, mwenzie akabebwa usiku kwa usiku kwenda gereji kuapishwa kuwa mbunge.
Haya maisha haya...
Katiba ya nchi ndo ya muhimu hizo zingine mtajuwa wenyeweKwani katiba iliyopo ya CDM tayari imepitwa na wakati?
Katiba ya nchi ndo ya muhimu hizo zingine mtajuwa wenyewe
Mungu ibariki ChademaLeo tarehe 2 octoba 2021 Wilayani Kahama Mkoani Shinyanga kumefanyika kongamano la Katiba Mpya pamoja na Tume Huru ya uchaguzi, kongamano hilo kama ilivyo ada limeandaliwa na ile Taasisi Kabambe ya vijana barani Africa iitwayo BAVICHA .
Kishindo chake hiki hapa , jionee mwenyewe .
View attachment 1960375
Mkuu wa mkoa katenguliwaLeo tarehe 2 octoba 2021 Wilayani Kahama Mkoani Shinyanga kumefanyika kongamano la Katiba Mpya pamoja na Tume Huru ya uchaguzi, kongamano hilo kama ilivyo ada limeandaliwa na ile Taasisi Kabambe ya vijana barani Africa iitwayo BAVICHA .
Kishindo chake hiki hapa , jionee mwenyewe .
View attachment 1960375
Tuone na picha za wajumbe sasaLeo tarehe 2 octoba 2021 Wilayani Kahama Mkoani Shinyanga kumefanyika kongamano la Katiba Mpya pamoja na Tume Huru ya uchaguzi, kongamano hilo kama ilivyo ada limeandaliwa na ile Taasisi Kabambe ya vijana barani Africa iitwayo BAVICHA .
Kishindo chake hiki hapa , jionee mwenyewe .
View attachment 1960375