BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,011
Jana pambalu alikuwa morogoro msamvuLeo tarehe 2 octoba 2021 Wilayani Kahama Mkoani Shinyanga , kumefanyika kongamano la Katiba Mpya pamoja na Tume Huru ya uchaguzi , kongamano hilo kama ilivyo ada limeandaliwa na ile Taasisi Kabambe ya vijana barani africa iitwayo BAVICHA .
Kishindo chake hiki hapa , jionee mwenyewe .
View attachment 1960375
Twaha hajawahi kufungwa mkuuNamuona Twaha hapo. Walifungwa wawili yeye na Nusrat, mwenzie akabebwa usiku kwa usiku kwenda gereji kuapishwa kuwa mbunge.
Haya maisha haya...
Naambiwa ngumi zimerindima huko
Naambiwa ngumi zimerindima huko
You are beyond pololitical partyLeo tarehe 2 octoba 2021 Wilayani Kahama Mkoani Shinyanga , kumefanyika kongamano la Katiba Mpya pamoja na Tume Huru ya uchaguzi , kongamano hilo kama ilivyo ada limeandaliwa na ile Taasisi Kabambe ya vijana barani africa iitwayo BAVICHA .
Kishindo chake hiki hapa , jionee mwenyewe .
View attachment 1960375
Mwenyekiti ana watu. Kazi inaendelea.Mwenyezi Mungu aibariki Chadema, Viongozi wake, wanachama, wapenzi na mashabiki wa Chadema popote pale duniani. 🙏🏾
Hii kazi nzuri ya kupongezwa ktk mazingira ha sasa.Hongereni Sana kwa kupambania Katiba mpya na tume huru, IPO siku Watanzania wataondoa hofu na kujitambua.
Cdm ina watu wa mfano. Hata katika maisha yao ya kawaida ni Winners. Fatilia popote ulipo utanipa majibu.Ila wenzetu CDM mna raha kweli pamoja na magumu mnayopitia mnapendana sana mnasaidiana sana,sisi huku kwetu Lumumba ni vita ndani kwa ndani.
mdogo mdogo tutafika tu.Sawa sawa wanapigania kitu chema sana hao Wananchi Tanzania sio ya kuendeshwa hivi kila kukicha mambo ya hovyo hovyo na matamko yao kisa katiba inawabeba...
Nzuri sana ya kupongezwaKazi nzuri
OCD na RPC Kesho wakaripoti kwa Kayafa Babeli Mkuu.Leo tarehe 2 octoba 2021 Wilayani Kahama Mkoani Shinyanga , kumefanyika kongamano la Katiba Mpya pamoja na Tume Huru ya uchaguzi , kongamano hilo kama ilivyo ada limeandaliwa na ile Taasisi Kabambe ya vijana barani africa iitwayo BAVICHA .
Kishindo chake hiki hapa , jionee mwenyewe .
View attachment 1960375
BAK inaonekana ukishindwa hoja unakuja na matusi kama mtu mwenye stress hivi mbona nimecheka hakuna hata comment mmoja aliyo kutukana ila wewe mwanzo mwisho ni kuwatukana wazazi wake
Yawiza sana...Cha kushukuru limeanzia kwa wasukuma na hamna aliewagusa this is sukuma bwana tukiamua tunaweza
BAK inaonekana ukishindwa hoja unakuja na matusi kama mtu mwenye stress hivi mbona nimecheka hakuna hata comment mmoja aliyo kutukana ila wewe mwanzo mwisho ni kuwatukana wazazi wake