Komredi Kinana achapa kazi maadhimisho CCM, kudhihirisha kauli ya hapa kazi tu kwa vitendo

singidadodoma

JF-Expert Member
Nov 11, 2013
4,394
1,531
IMG_0552.jpg

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akishiriki ujenzi wa majengo ya Shule ya Sekondari ya Unyianga, Singida leo, ikiwa ni shamrashamra ya maadhimisho ya miaka 39 ya kuzaliwa CCM yatakayofanyika kitaifa mkoani Singida


01.JPG

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akishiriki kupalilia katika shamba la mtama la mkulima wa kujitegemea Elisha Mdaa (kushoto) katika Kata ya Mtamaa, Singida leo, ikiwa ni shamrashamra ya maadhimisho ya miaka 39 ya kuzaliwa CCM yatakayofanyika kitaifa mkoani Singida kesho. Kauli mbiu ya maadhimisho hayo ni kuhimiza kila mwananchi kuchapa kazi.
02.JPG
03.JPG

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akishiriki kupaka rangi Jengo la Ofisi ya CCM Mkoa wa Singida leo, ikiwa ni shamrashamra ya maadhimisho ya miaka 39 ya kuzaliwa CCM yatakayofanyika kitaifa mkoani Singida
 
IMG_0552.jpg

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akishiriki ujenzi wa majengo ya Shule ya Sekondari ya Unyianga, Singida leo, ikiwa ni shamrashamra ya maadhimisho ya miaka 39 ya kuzaliwa CCM yatakayofanyika kitaifa mkoani Singida


01.JPG

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akishiriki kupalilia katika shamba la mtama la mkulima wa kujitegemea Elisha Mdaa (kushoto) katika Kata ya Mtamaa, Singida leo, ikiwa ni shamrashamra ya maadhimisho ya miaka 39 ya kuzaliwa CCM yatakayofanyika kitaifa mkoani Singida kesho. Kauli mbiu ya maadhimisho hayo ni kuhimiza kila mwananchi kuchapa kazi.
02.JPG
03.JPG

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akishiriki kupaka rangi Jengo la Ofisi ya CCM Mkoa wa Singida leo, ikiwa ni shamrashamra ya maadhimisho ya miaka 39 ya kuzaliwa CCM yatakayofanyika kitaifa mkoani Singida
Hivi kule kwenye ndege iliyo popolewa alienda?
 
Kikwete na Genge lake la wanamtandao walithamini kundi lao kuliko chama wakataka kuuwa chama chetu kwa ugomvi wa kugombea Madaraka kati ya wanamtandao Lowassa na Membe.
Shukran sana Comred Abdulrahman Omar Kinana. Nnilimsikia Mama Makinda siku ya kuapishwa Magufuli uwanja as Taifa Nov 5,2015 akisema Kinana ni Neema ya CCM kutoka kwa Mungu.
Mgogoro wa Ccm 2007-2015 umefanya watu waseme Mwl Nyerere ndio Mwenyekiti bora wa CCM tangu ianzishwe na Comrade Kinana ndio katibu Mkuu bora tangu kianzishwe.
Natamani sana Mzee Mkapa angepata Katibu Jasiri huyu Kinana hawa wana mtandao wangeusikia Urais TBC. Mzee Philip Japhet Mangula sio mjanja kabisa aliwaogopa hawa jamaa akamtisha Ndugu Mpakà nae akanywea!
 
chama chetu kitaiongoza upya nchi yetu taklibani miaka ishirin baada ya magufuri,,,ebu tufanye kaz ..
 
Hapa kazi tuuuu hongera comrade kinana sasa kazi tuu kujenga chama na taifa hyoo ndo ccm bwana

Wakati CCM wanachapa kazi CHADEMA watakuwa badala ya kuchapa kazi wamejifungia mahali wakipanga maandamano yajayo yafanyike wapi na yawe ya TOPIC gani? Yafanyike Arusha,DAR ,Mbeya AU iringa?.Wajumbe Wakipendekeza yawe Kilimanjaro MBOWE atakuwa anawaambia NO,NO,NO.NAPENDEKEZA YAFANYIKE HUKO KWENU
 
jamaa hatumii fimbo ila ng'ombe wanakwenda tu,wanakimbia,wanaogopa wasijepandishwa ndege.
 
IMG_0552.jpg

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akishiriki ujenzi wa majengo ya Shule ya Sekondari ya Unyianga, Singida leo, ikiwa ni shamrashamra ya maadhimisho ya miaka 39 ya kuzaliwa CCM yatakayofanyika kitaifa mkoani Singida

01.JPG

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akishiriki kupalilia katika shamba la mtama la mkulima wa kujitegemea Elisha Mdaa (kushoto) katika Kata ya Mtamaa, Singida leo, ikiwa ni shamrashamra ya maadhimisho ya miaka 39 ya kuzaliwa CCM yatakayofanyika kitaifa mkoani Singida kesho. Kauli mbiu ya maadhimisho hayo ni kuhimiza kila mwananchi kuchapa kazi.
02.JPG
03.JPG

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akishiriki kupaka rangi Jengo la Ofisi ya CCM Mkoa wa Singida leo, ikiwa ni shamrashamra ya maadhimisho ya miaka 39 ya kuzaliwa CCM yatakayofanyika kitaifa mkoani Singida
pole sana mzee wangu
 
Kikwete na Genge lake la wanamtandao walithamini kundi lao kuliko chama wakataka kuuwa chama chetu kwa ugomvi wa kugombea Madaraka kati ya wanamtandao Lowassa na Membe.
Shukran sana Comred Abdulrahman Omar Kinana. Nnilimsikia Mama Makinda siku ya kuapishwa Magufuli uwanja as Taifa Nov 5,2015 akisema Kinana ni Neema ya CCM kutoka kwa Mungu.
Mgogoro wa Ccm 2007-2015 umefanya watu waseme Mwl Nyerere ndio Mwenyekiti bora wa CCM tangu ianzishwe na Comrade Kinana ndio katibu Mkuu bora tangu kianzishwe.
Natamani sana Mzee Mkapa angepata Katibu Jasiri huyu Kinana hawa wana mtandao wangeusikia Urais TBC. Mzee Philip Japhet Mangula sio mjanja kabisa aliwaogopa hawa jamaa akamtisha Ndugu Mpakà nae akanywea!

Leo hii historia haikumbukwi tena..Mzee anapewa za uso tu..
 
Wakati CCM wanachapa kazi CHADEMA watakuwa badala ya kuchapa kazi wamejifungia mahali wakipanga maandamano yajayo yafanyike wapi na yawe ya TOPIC gani? Yafanyike Arusha,DAR ,Mbeya AU iringa?.Wajumbe Wakipendekeza yawe Kilimanjaro MBOWE atakuwa anawaambia NO,NO,NO.NAPENDEKEZA YAFANYIKE HUKO KWENU
leo mmeacha wahuni wanamtukana Kinana ! wanafiki wakubwa nyie !!
 
Back
Top Bottom