Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,807
- 31,741
Unajua NK ni watu hafifu sana hata iwe vipi hawawawezi America. Kwanza teckolojia yao ni hafifu sana, wanadanganywa na china,rusia kwa kununua zana kwao hao watu wanakula tu pesa zao. NK hata wakisimama na SK hawawawezi, sema tu SK ni wapole na waaastarabu sana,lakin kwa zana wanazo kali kuliko NK
Na wewe ni mkewe bulicheka (elizabeti)We kweli bullycheka.
Jaribio la kumteka Roma lilifanikiwa huku la Ben saa9 likifanikiwa zaid, chezea TZ ww.Kufeli sio kushindwa. Kuja vifaa vimefanyiwa majaribio zaidi ya miamoja vinafeli na jaribio la 101 ndipo kifaa kinakamilika
Sisi watanzania tumefanya jaribio gani? Heko kwa Korea kaskazini
Ahahahha mi simoJaribio la kumteka Roma lilifanikiwa huku la Ben saa9 likifanikiwa zaid, chezea TZ ww.
RT je?!BBC kama TBC yetu tu, hao ni wana propaganda wa America.
Kwani wamedanganya Nini? Au halija feli? Hhhhh Great thinker vipiBBC kama TBC yetu tu, hao ni wana propaganda wa America.
Na wewe ni mkewe bulicheka (elizabeti)