Amoeba
JF-Expert Member
- Aug 20, 2009
- 3,289
- 781
salaaam waku! bila kuisahau mizimu ya mababu inayowezesha uwanja huu
kuendelea kkufanya kazi. naulizeni hiv, nikiagiza gari toka japani, ni kodi zipi na kwa percent ngapi ambaazo zitanipasa kulipa mpaka kukfikia kuliweka barabarani. pia kuna tetesi kuwa waalimu wanasamehewa baadhi ya kodi wakiagiza magari, mke wangu ni mwl. mwenye uhakika na hilo anipe details hapa kwa faida ya wote.
kuendelea kkufanya kazi. naulizeni hiv, nikiagiza gari toka japani, ni kodi zipi na kwa percent ngapi ambaazo zitanipasa kulipa mpaka kukfikia kuliweka barabarani. pia kuna tetesi kuwa waalimu wanasamehewa baadhi ya kodi wakiagiza magari, mke wangu ni mwl. mwenye uhakika na hilo anipe details hapa kwa faida ya wote.