Kodi za dhuluma zipoje?

Kodi za dhuluma zipoje?

Joined
Dec 23, 2017
Posts
35
Reaction score
69
Utaratibu wa kodi upo hivi nakuwekea muda yani mfano kutokana na biashara yako kila mwisho wa mwezi utatulipa kodi ya shilingi milioni sasa ikifika huo muda hujalipa hiyo kuna hatua na taratibu nyengine ikiwemo kupewa kumbusho (notice) la muda fulani haizidi siku 30.

Baada ya huo muda kuisha maana yake kinachofuata nifaini kwa kila mwezi kuanzia hapo. Sasa kilichopo ilikuwa hivi:-

Muda wakulipa umeisha kashapewa notice imepita muda wake faini imeenda hata miezi sita yani kodi na faini walichokuwa wanakifanya T.R.A wanakaa chini wanakubaliana deni analodaiwa labda milioni 50 anaulizwa kiasi anachoweza kukilipa anakwambia labda milioni 15 analipa kwa hiyo ile 35 imepotea sasa yule anakuja kupatana nae ili akutete ana asilimia kumi yake

Ama kwamfanya biashara alikuwa anaenda brela anabadilisha jina la kampuni lakini bishara ile ile anaonekana kampuni jipya anakuwa kakwepa kodi kirahisi tu Serikali.

Nahizo ndiyo njia mbili za ukwepaji kodi

WAKATI WA MAGUFULI KILIFANYIKA NINI?
Alitengeneza timu maalumu(task force) ambayo ilipewa kazi maalumu ya kukusanya kodi na madeni yote sugu

Kwanza
Muda wa notice ukiisha tu wanakufuata ulipe kama hauna basi utatakiwa kufunga biashara kulikuko kuendelea kufanya biashara na haulipi kitu serikalini.

Pili
Madeni ya nyuma yote wakiyakusanya kwakutumia kanuni za mufilisi na siyo tu kuishia kukufungia..Lakini kwanza walikuwa wanakupa nafasi kiwango utakachoweza kulipa.

Katika mfumo huu ilikuwa ni ngumu mtu kukwepa kodi ingawa hatukati kila kila kitu kina kuwa namapungufu ila yalikuwa yanatakiwa kufanyiwa marekebisho.

Mfanyabiashara anakaa kwako anafanya biashara kila siku anakwambia sijapata faida sasa si bora afunge hiyo bishara kabisa.

Swali kudai kodi kwakutumia taski force unaiita kodi ya dhuluma haya mama kusanya hiyo halali siye yetu macho.
 

TRA mnajaribu kujitetea? Kwamba yupo asiyejua?

Kodi ya dhuluma ni yoyote mliokuwa mnabambikiza! Awamu ya 5 mmebambikiza kweri kweri!

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Kuna watu waliandika barua kufilisika biashara zao,hakuna barua wanayojibu hawa tra.Lengo waje wakugeuke hukuwapa taarifa wakudai kama mlimbikiza kodi! Hzo ndio kodi za dhulma pia.
 
Utaratibu wa kodi upo hivi nakuwekea muda yani mfano kutokana na biashara yako kila mwisho wa mwezi utatulipa kodi ya shilingi milioni sasa ikifika huo muda hujalipa hiyo kuna hatua na taratibu nyengine ikiwemo kupewa kumbusho (notice) la muda fulani haizidi siku 30.

Baada ya huo muda kuisha maana yake kinachofuata nifaini kwa kila mwezi kuanzia hapo. Sasa kilichopo ilikuwa hivi:-

Muda wakulipa umeisha kashapewa notice imepita muda wake faini imeenda hata miezi sita yani kodi na faini walichokuwa wanakifanya T.R.A wanakaa chini wanakubaliana deni analodaiwa labda milioni 50 anaulizwa kiasi anachoweza kukilipa anakwambia labda milioni 15 analipa kwa hiyo ile 35 imepotea sasa yule anakuja kupatana nae ili akutete ana asilimia kumi yake

Ama kwamfanya biashara alikuwa anaenda brela anabadilisha jina la kampuni lakini bishara ile ile anaonekana kampuni jipya anakuwa kakwepa kodi kirahisi tu Serikali.

Nahizo ndiyo njia mbili za ukwepaji kodi

WAKATI WA MAGUFULI KILIFANYIKA NINI?
Alitengeneza timu maalumu(task force) ambayo ilipewa kazi maalumu ya kukusanya kodi na madeni yote sugu

Kwanza
Muda wa notice ukiisha tu wanakufuata ulipe kama hauna basi utatakiwa kufunga biashara kulikuko kuendelea kufanya biashara na haulipi kitu serikalini.

Pili
Madeni ya nyuma yote wakiyakusanya kwakutumia kanuni za mufilisi na siyo tu kuishia kukufungia..Lakini kwanza walikuwa wanakupa nafasi kiwango utakachoweza kulipa.

Katika mfumo huu ilikuwa ni ngumu mtu kukwepa kodi ingawa hatukati kila kila kitu kina kuwa namapungufu ila yalikuwa yanatakiwa kufanyiwa marekebisho.

Mfanyabiashara anakaa kwako anafanya biashara kila siku anakwambia sijapata faida sasa si bora afunge hiyo bishara kabisa.

Swali kudai kodi kwakutumia taski force unaiita kodi ya dhuluma haya mama kusanya hiyo halali siye yetu macho.
We sio mfanyabiashara ,
Moja ya kodi za dhuluma haiangukii kwenye hicho ulichosema bali unakisia tu
Mama ametoa mfano pale , mtu ana Tax clearance zote , tra anakwenda kudai mahesabu ya miaka kumi nyuma , eventually anakosa na ndo anapiga kodi za makadirio yake plus interest na mtu anabambikwa .
Aliuliza swali pale imakuwaje mfanyabiashara ana Tax clearance, then unampigia mahesabu ya nyuma , tra walikuwa wapi hadi wanampatia clearance .? Na kuwa nini wapige hesabu za miaka kumi nyuma
 
Bila shaka we ni mfanyakazi wa TRA nikweri nyinyi ni Majambazi unatetea ujinga wakati watu tunaumia we CUMER
we ni K na unauzi wako wakiseng we ni kkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkUMA
Dah mkuu wangu ulipewa ya uhujumu nini
 
Utaratibu wa kodi upo hivi nakuwekea muda yani mfano kutokana na biashara yako kila mwisho wa mwezi utatulipa kodi ya shilingi milioni sasa ikifika huo muda hujalipa hiyo kuna hatua na taratibu nyengine ikiwemo kupewa kumbusho (notice) la muda fulani haizidi siku 30.

Baada ya huo muda kuisha maana yake kinachofuata nifaini kwa kila mwezi kuanzia hapo. Sasa kilichopo ilikuwa hivi:-

Muda wakulipa umeisha kashapewa notice imepita muda wake faini imeenda hata miezi sita yani kodi na faini walichokuwa wanakifanya T.R.A wanakaa chini wanakubaliana deni analodaiwa labda milioni 50 anaulizwa kiasi anachoweza kukilipa anakwambia labda milioni 15 analipa kwa hiyo ile 35 imepotea sasa yule anakuja kupatana nae ili akutete ana asilimia kumi yake

Ama kwamfanya biashara alikuwa anaenda brela anabadilisha jina la kampuni lakini bishara ile ile anaonekana kampuni jipya anakuwa kakwepa kodi kirahisi tu Serikali.

Nahizo ndiyo njia mbili za ukwepaji kodi

WAKATI WA MAGUFULI KILIFANYIKA NINI?
Alitengeneza timu maalumu(task force) ambayo ilipewa kazi maalumu ya kukusanya kodi na madeni yote sugu

Kwanza
Muda wa notice ukiisha tu wanakufuata ulipe kama hauna basi utatakiwa kufunga biashara kulikuko kuendelea kufanya biashara na haulipi kitu serikalini.

Pili
Madeni ya nyuma yote wakiyakusanya kwakutumia kanuni za mufilisi na siyo tu kuishia kukufungia..Lakini kwanza walikuwa wanakupa nafasi kiwango utakachoweza kulipa.

Katika mfumo huu ilikuwa ni ngumu mtu kukwepa kodi ingawa hatukati kila kila kitu kina kuwa namapungufu ila yalikuwa yanatakiwa kufanyiwa marekebisho.

Mfanyabiashara anakaa kwako anafanya biashara kila siku anakwambia sijapata faida sasa si bora afunge hiyo bishara kabisa.

Swali kudai kodi kwakutumia taski force unaiita kodi ya dhuluma haya mama kusanya hiyo halali siye yetu macho.
Watu kama nyie manatakiwa kufungsa jiwe na kutupwa bahari


Pumbavu
 
Kuna watu waliandika barua kufilisika biashara zao,hakuna barua wanayojibu hawa tra.Lengo waje wakugeuke hukuwapa taarifa wakudai kama mlimbikiza kodi! Hzo ndio kodi za dhulma pia.
Ukiandika barua unaandika mbili moja unawaachia ingine wanagonga muhuri kuwa wamepokea unaenda kuweka kwenye kumbukumbu zako.
 
we ni K na unauzi wako wakiseng we ni kkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkUMA
Duh JF imekua sana.
 
Unenda kukadiriwa kodi, unaambiwa utalipa 500, 000 kwa mwaka, unalalamika na kuomba wakupunguzie kidogo, wanakwambia nenda njoo kesho tukupe jibu. Kesho ukifika anakwambia sasa tunpunguza utaweza kulipa 350,000 kwa mwaka, ukisema ndio naweza anakwambia nenda kalipe 250,000 na iliyobaki 100, 000 utanipa hapo nje ya ofisi.
 
TRA mnajaribu kujitetea? Kwamba yupo asiyejua?

Kodi ya dhuluma ni yoyote mliokuwa mnabambikiza! Awamu ya 5 mmebambikiza kweri kweri!

Au nasema uongo ndugu zangu?
Ndiyo Ukweli Wenyewe
Nasema Uongo Ndugu Zangu
 
Utaratibu wa kodi upo hivi nakuwekea muda yani mfano kutokana na biashara yako kila mwisho wa mwezi utatulipa kodi ya shilingi milioni sasa ikifika huo muda hujalipa hiyo kuna hatua na taratibu nyengine ikiwemo kupewa kumbusho (notice) la muda fulani haizidi siku 30.

Baada ya huo muda kuisha maana yake kinachofuata nifaini kwa kila mwezi kuanzia hapo. Sasa kilichopo ilikuwa hivi:-

Muda wakulipa umeisha kashapewa notice imepita muda wake faini imeenda hata miezi sita yani kodi na faini walichokuwa wanakifanya T.R.A wanakaa chini wanakubaliana deni analodaiwa labda milioni 50 anaulizwa kiasi anachoweza kukilipa anakwambia labda milioni 15 analipa kwa hiyo ile 35 imepotea sasa yule anakuja kupatana nae ili akutete ana asilimia kumi yake

Ama kwamfanya biashara alikuwa anaenda brela anabadilisha jina la kampuni lakini bishara ile ile anaonekana kampuni jipya anakuwa kakwepa kodi kirahisi tu Serikali.

Nahizo ndiyo njia mbili za ukwepaji kodi

WAKATI WA MAGUFULI KILIFANYIKA NINI?
Alitengeneza timu maalumu(task force) ambayo ilipewa kazi maalumu ya kukusanya kodi na madeni yote sugu

Kwanza
Muda wa notice ukiisha tu wanakufuata ulipe kama hauna basi utatakiwa kufunga biashara kulikuko kuendelea kufanya biashara na haulipi kitu serikalini.

Pili
Madeni ya nyuma yote wakiyakusanya kwakutumia kanuni za mufilisi na siyo tu kuishia kukufungia..Lakini kwanza walikuwa wanakupa nafasi kiwango utakachoweza kulipa.

Katika mfumo huu ilikuwa ni ngumu mtu kukwepa kodi ingawa hatukati kila kila kitu kina kuwa namapungufu ila yalikuwa yanatakiwa kufanyiwa marekebisho.

Mfanyabiashara anakaa kwako anafanya biashara kila siku anakwambia sijapata faida sasa si bora afunge hiyo bishara kabisa.

Swali kudai kodi kwakutumia taski force unaiita kodi ya dhuluma haya mama kusanya hiyo halali siye yetu macho.
Ukweli mchungu,Kitu nimenote mama hana uelewa mpana wa baadhi ya mambo.Kabla hajazungumza akae ajifunze kwanza, otherwise atakwama.

JPM alitengeneza misingi ya nchi kujitegemea hapo baadae,mama naona anataka turudi nyuma kwenye mambo ya kuwapigia magoti mabwenyenye.
 
Ukweli mchungu,Kitu nimenote mama hana uelewa mpana wa baadhi ya mambo.Kabla hajazungumza akae ajifunze kwanza, otherwise atakwama.

JPM alitengeneza misingi ya nchi kujitegemea hapo baadae,mama naona anataka turudi nyuma kwenye mambo ya kuwapigia magoti mabwenyenye.

Kujitegemea kwa kudhulumu watu jombi unakuhalalisha?

Kumbe ndiyo maana majambazi ujambazi huita kazi!

Kwa mawazo yako waliodhulumiwa wawashangilie?

Ajabu na kweli kina PM bado wako ofisini.

Hiiiiii bagosha!
 
Utaratibu wa kodi upo hivi nakuwekea muda yani mfano kutokana na biashara yako kila mwisho wa mwezi utatulipa kodi ya shilingi milioni sasa ikifika huo muda hujalipa hiyo kuna hatua na taratibu nyengine ikiwemo kupewa kumbusho (notice) la muda fulani haizidi siku 30.

Baada ya huo muda kuisha maana yake kinachofuata nifaini kwa kila mwezi kuanzia hapo. Sasa kilichopo ilikuwa hivi:-

Muda wakulipa umeisha kashapewa notice imepita muda wake faini imeenda hata miezi sita yani kodi na faini walichokuwa wanakifanya T.R.A wanakaa chini wanakubaliana deni analodaiwa labda milioni 50 anaulizwa kiasi anachoweza kukilipa anakwambia labda milioni 15 analipa kwa hiyo ile 35 imepotea sasa yule anakuja kupatana nae ili akutete ana asilimia kumi yake

Ama kwamfanya biashara alikuwa anaenda brela anabadilisha jina la kampuni lakini bishara ile ile anaonekana kampuni jipya anakuwa kakwepa kodi kirahisi tu Serikali.

Nahizo ndiyo njia mbili za ukwepaji kodi

WAKATI WA MAGUFULI KILIFANYIKA NINI?
Alitengeneza timu maalumu(task force) ambayo ilipewa kazi maalumu ya kukusanya kodi na madeni yote sugu

Kwanza
Muda wa notice ukiisha tu wanakufuata ulipe kama hauna basi utatakiwa kufunga biashara kulikuko kuendelea kufanya biashara na haulipi kitu serikalini.

Pili
Madeni ya nyuma yote wakiyakusanya kwakutumia kanuni za mufilisi na siyo tu kuishia kukufungia..Lakini kwanza walikuwa wanakupa nafasi kiwango utakachoweza kulipa.

Katika mfumo huu ilikuwa ni ngumu mtu kukwepa kodi ingawa hatukati kila kila kitu kina kuwa namapungufu ila yalikuwa yanatakiwa kufanyiwa marekebisho.

Mfanyabiashara anakaa kwako anafanya biashara kila siku anakwambia sijapata faida sasa si bora afunge hiyo bishara kabisa.

Swali kudai kodi kwakutumia taski force unaiita kodi ya dhuluma haya mama kusanya hiyo halali siye yetu macho.
Unajitekenya halafu unacheka mwenyewe.

Kuna watu mliwabambikia kesi hadi wakajiua.

Nyie mashetani zama zenu zimeisha. Bosi wenu kafa na nyinyi jela inawaita.
 
Utaratibu wa kodi upo hivi nakuwekea muda yani mfano kutokana na biashara yako kila mwisho wa mwezi utatulipa kodi ya shilingi milioni sasa ikifika huo muda hujalipa hiyo kuna hatua na taratibu nyengine ikiwemo kupewa kumbusho (notice) la muda fulani haizidi siku 30.

Baada ya huo muda kuisha maana yake kinachofuata nifaini kwa kila mwezi kuanzia hapo. Sasa kilichopo ilikuwa hivi:-

Muda wakulipa umeisha kashapewa notice imepita muda wake faini imeenda hata miezi sita yani kodi na faini walichokuwa wanakifanya T.R.A wanakaa chini wanakubaliana deni analodaiwa labda milioni 50 anaulizwa kiasi anachoweza kukilipa anakwambia labda milioni 15 analipa kwa hiyo ile 35 imepotea sasa yule anakuja kupatana nae ili akutete ana asilimia kumi yake

Ama kwamfanya biashara alikuwa anaenda brela anabadilisha jina la kampuni lakini bishara ile ile anaonekana kampuni jipya anakuwa kakwepa kodi kirahisi tu Serikali.

Nahizo ndiyo njia mbili za ukwepaji kodi

WAKATI WA MAGUFULI KILIFANYIKA NINI?
Alitengeneza timu maalumu(task force) ambayo ilipewa kazi maalumu ya kukusanya kodi na madeni yote sugu

Kwanza
Muda wa notice ukiisha tu wanakufuata ulipe kama hauna basi utatakiwa kufunga biashara kulikuko kuendelea kufanya biashara na haulipi kitu serikalini.

Pili
Madeni ya nyuma yote wakiyakusanya kwakutumia kanuni za mufilisi na siyo tu kuishia kukufungia..Lakini kwanza walikuwa wanakupa nafasi kiwango utakachoweza kulipa.

Katika mfumo huu ilikuwa ni ngumu mtu kukwepa kodi ingawa hatukati kila kila kitu kina kuwa namapungufu ila yalikuwa yanatakiwa kufanyiwa marekebisho.

Mfanyabiashara anakaa kwako anafanya biashara kila siku anakwambia sijapata faida sasa si bora afunge hiyo bishara kabisa.

Swali kudai kodi kwakutumia taski force unaiita kodi ya dhuluma haya mama kusanya hiyo halali siye yetu macho.

HOVYOOO

MNATAKA HESABU ZA WATU WALIOJIUA KWA KUWABAMBIKIA KIWANGO CHA JUU CHA KODI?...WEWE OVYO SANA, BIASHARA NYINGI ZIMEFUNGWA UNAPATA NINI SASA? WENGINE WAPO MAGEREZANI KWA KUGOMA KULIPA MADENI MLIYOWABAMBIKIA, MAHAKAMANI HAWAENDI NA WALA KESI HAIISHI.
OVYO KABISA
 
CAG nenda TRA uwachunguze wafanya kazi kila mmoja ananyumba zaidi ya tatu kwa mda mfupi wa kuajiriwa na biashara zingine kibao wezi hao
 
Unajitekenya halafu unacheka mwenyewe.

Kuna watu mliwabambikia kesi hadi wakajiua.

Nyie mashetani zama zenu zimeisha. Bosi wenu kafa na nyinyi jela inawaita.

hata wewe utakufa kabla ya huu mwaka kuisha
 
Back
Top Bottom