Kodi ya ukusanyaji ushuru masokoni Sheria ikoje

tulihamwe

Member
May 11, 2019
12
0
Nduguu zangu naweka Uzi huu kutak kujua xheria ya ukusanyaji ushuru nani anafaa kuripa ushuru huo kisheria ,nimeongea hivyo nikiwa na maana kunawafunga viungo ambao kazi yao n kufunga viungoo nao hulipishwa ushuru ikiwa hakuna biashara wanaifanya ukikutwa unafanyia kazi kwenye meza (ubao )ambao hakuna Bidhaaa zinauzwaa basi yakulipa ushuru kwa meza hiyooo. .. naomba kuwasiridhaaa
 
Nduguu zangu naweka Uzi huu kutak kujua xheria ya ukusanyaji ushuru nani anafaa kuripa ushuru huo kisheria ,nimeongea hivyo nikiwa na maana kunawafunga viungo ambao kazi yao n kufunga viungoo nao hulipishwa ushuru ikiwa hakuna biashara wanaifanya ukikutwa unafanyia kazi kwenye meza (ubao )ambao hakuna Bidhaaa zinauzwaa basi yakulipa ushuru kwa meza hiyooo. .. naomba kuwasiridhaaa
Mkuu Kuna lugha sijaielewa kwenye mada yako.
Wafunga viungo ndio watu gani hao?
Wanafunga viungo gani?
Ukifafanua hii utawasaidia na wengine waelewe kiurahisi.
 
Back
Top Bottom