kodi ya kadi ya simu ni pigo kwa ccm 2015

kodi ya kadi ya simu ni pigo kwa ccm 2015

tindikalikali

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2011
Posts
4,854
Reaction score
1,143
napenda kutoa pongezi kwa viongozi wa chadema na wananchi wote wa Arusha,kudhihirisha kuwa ccm hawana chao hapo.
Nianze pia kupongeza ccm kwa kujiandalia kaburi 2015,kodi ya simu iliyopitishwa na serikala shs 1000 kwa mwezi mi ningependa iwe hata 5000 ili watanzania tuamke na kusema basi ccm kuongoza nchi hii,watanzania tusilalamike wala tusiandamane tuliichagua ccm kwa hali na nguvu mpya,na hii iwe fimbo kwa ccm 2015,nawasihi chadema msiitishe maandamano hii itakua kura turufu 2015 nawasilisha.
 
Serikali bunifu ya magamba,inafanya mambo ambayo nchi nyingne hazifanyi
 
mawazo mgando bwana mtu akishiba ugali utamjua tu
 
Adui mwombee njaa. Hii ndo ngazi yetu sasa. Naomba Mungu awape ujasiri wa kuwanyonya hawa maskini hadi mwaka 2015 tutokeeepo
 
Serikala ya magamba itajutia. Chadema wala msiwashtue sasa hivi tuwaache hivi hivi hadi 2015
 
napenda kutoa pongezi kwa viongozi wa chadema na wananchi wote wa Arusha,kudhihirisha kuwa ccm hawana chao hapo.
Nianze pia kupongeza ccm kwa kujiandalia kaburi 2015,kodi ya simu iliyopitishwa na serikala shs 1000 kwa mwezi mi ningependa iwe hata 5000 ili watanzania tuamke na kusema basi ccm kuongoza nchi hii,watanzania tusilalamike wala tusiandamane tuliichagua ccm kwa hali na nguvu mpya,na hii iwe fimbo kwa ccm 2015,nawasihi chadema msiitishe maandamano hii itakua kura turufu 2015 nawasilisha.

Naunga mkono kidogo kwa sababu hizo ndo pesa wana zikusanya za kutunyongea na ikifika june 30 watafuta tayari watakua wamepata pesa kibao za kununulia vitenge vya kijani wana nchi
 
Back
Top Bottom