zunichiro
Member
- Sep 16, 2014
- 56
- 21
Nimekwambia nina PHD na shule nilimaliza sasa ubunye na ukilaza nimeupatajehahahaha wewe ni bunye sio kilaza
Nimekwambia nina PHD na shule nilimaliza sasa ubunye na ukilaza nimeupatajehahahaha wewe ni bunye sio kilaza
Lakini wewe unaona kipi bora? Tuwaache wale wenye? Au na serikali ipate gawio?Ni kweli kabisa....ila makampuni ya simu wataongeza ada...ili tuende sawa! Tumeipenda wenyewe! Na bado
kwani hiyo garama ya kutoa inakatwa kwenye hela za nani?watafute vyanzo vya mapato sio kodi rahisi*UFAFANUZI!*
_Watu wengi wamestuka sana kusikia kuwa kuanzia tarehe 01 Julai 2016, kila utakapotoa fedha kwenye ATM au huduma za fedha kwa mitandao ya simu, TRA itachukua asilimia 10 ya pesa hizo_.
_Ukweli ni kuwa kodi hiyo ya 10% kwenye muamala wa simu au kutoa pesa kwenye ATM itakatwa kwenye gharama ya kutolea au kutumia na wala siyo kwenye pesa zako_.
_Mwanamtandao Gabriel Mwang'onda amefafanua kuwa 'kwa mfano ukitoa sh milioni moja gharama ya kutolea ni sh 7500, basi serikali wanakata 10% kutoka katika hiyo sh 7500 (sh 750) na siyo kwenye sh milioni moja_'.
_Ngoja tuwafafanulie hapa ili watu wasije kukimbia na mabegi kutoa hela zao kwenye mabenki_.
Mtatiro J.
==========
Mtatiro hii umeielewa?*UFAFANUZI!*
_Watu wengi wamestuka sana kusikia kuwa kuanzia tarehe 01 Julai 2016, kila utakapotoa fedha kwenye ATM au huduma za fedha kwa mitandao ya simu, TRA itachukua asilimia 10 ya pesa hizo_.
_Ukweli ni kuwa kodi hiyo ya 10% kwenye muamala wa simu au kutoa pesa kwenye ATM itakatwa kwenye gharama ya kutolea au kutumia na wala siyo kwenye pesa zako_.
_Mwanamtandao Gabriel Mwang'onda amefafanua kuwa 'kwa mfano ukitoa sh milioni moja gharama ya kutolea ni sh 7500, basi serikali wanakata 10% kutoka katika hiyo sh 7500 (sh 750) na siyo kwenye sh milioni moja_'.
_Ngoja tuwafafanulie hapa ili watu wasije kukimbia na mabegi kutoa hela zao kwenye mabenki_.
Mtatiro J.
==========
Mwisho wa siku serikali na makampuni ya simu.ndio wanafaidi...sisi ndio tunakamuliwa hapa kama hujaelewa!!Lakini wewe unaona kipi bora? Tuwaache wale wenye? Au na serikali ipate gawio?
Una undugu na Mwakyembe!?!?Mm nina PHD lakini sijaelewa
Mm nina PHD lakini sijaelewa
Habari ndo hiyo, maana ukijifanya mjanja uonekane matawi ya juu kwa kuingiza kadi kwenye ATM machine pesa yote itashia kuwalisha wengine.Kweli mkuu
Patamu hapo! Mishahara sasa irejeshwe madirishani tu.Unachofurahia ni nini sasa hapo ? Maana kama mfanyakazi ashakatwa kodi kwenye Mshahara halafu bado ukotoe kwenye ATM ukatwe tena r u serious? Hii kama ni kweli itarudhisha Enzi za ujima za watu kukaa na hela ndani badala ya kuweka benki ziingia kwenye mzunguko kwa watu kukopa maana benki hazina hela zinazungusha za waweka akiba watu wasipoweka akiba ni msiba kwa benki haitakuwa na hela ya kukopesha na ujue serikali ishakimbiza zake BOT. Tutakua tunaenda mbele au tunarudi kwenye enzi za ujima?
Labda PHD za kina Hemed wa bongo muvi! (joke)Mm nina PHD lakini sijaelewa
Hili ndio tunalopigia kelele, Makampuni ya simu yalishajiwekea viwango vyao yaani faida zao, sasa serikali ikianza kukata maana yake faida zao zitashuka watakuwa Chini ya makusanyo yao ya kawaida,Sasa uoni kuwa mabanki na makampuni ya simu yataongeza gharama za service charge.
Mitandao ikikatwa si watafidia hasara hiyo kwa kupandisha gharama za huduma, hivyo atakayebeba mzigo huo ni mtoaji wa mwisho.UFAFANUZI!
Watu wengi wamestuka sana kusikia kuwa kuanzia tarehe 01 Julai 2016, kila utakapotoa fedha kwenye ATM au huduma za fedha kwa mitandao ya simu, TRA itachukua asilimia 10 ya pesa hizo.
Ukweli ni kuwa kodi hiyo ya 10% kwenye muamala wa simu au kutoa pesa kwenye ATM itakatwa kwenye gharama ya kutolea au kutumia na wala siyo kwenye pesa zako.
Mwanamtandao Gabriel Mwang'onda amefafanua kuwa 'kwa mfano ukitoa sh milioni moja gharama ya kutolea ni sh 7500, basi serikali wanakata 10% kutoka katika hiyo sh 7500 (sh 750) na siyo kwenye sh milioni moja'.
Ngoja tuwafafanulie hapa ili watu wasije kukimbia na mabegi kutoa hela zao kwenye mabenki.
Mtatiro J.