Yaani nchi hii hovyo sana,hebu fikiri vyanzo vya kiuchumi vya nchi hii vilivyo vingi;tuna migodi ya dhahabu,Almasi,Tanzanite ,Uranium,Makaa ya mawe;Tuna Mbuga za wanyama,Tuna Bahari,Maziwa na mito mikubwa;Tuna gesi,utaliii,majengo,Ardhi,n.k.sasa je Serikali inashindwaje kutumia vyanzo hivyo kujiongezea mapato?,kuliko kubanana na vinywaji jamii ya pombe na sigara.Jamani yaani wanatushinda hata nchi ndogo km Rwanda hata Burundi,sasa Wa-tz tunakuwa Kubwa jinga.