Naomba mnisaidie ktk hili,nimesoma ktk web ya Mwananchi nikaliona jina la Kim Paulsen kama kocha mpya wa Taifa stars aliyechukua nafasasi ya Juan Paulsen! Hawa ni ndugu? Au majina yamefanana tu!
Wewe uko wapi,inaonekana soka kwako ni kama kanisa kwa Pagan,anyway hawa Jamaa licha ya kuwa wote wanatokea Denmark siyo ndugu kabisa ni majina tu yamefanana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.