Ng'wanamangilingili
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 5,705
- 4,739
Naangalia mechi ya WC qualifications Africa Kenya dhidi ya Mali kocha kamuweka beki ya kulia na anaimudu vema. Simba tangu aumie pale kati anacheza Kennedy Juma au Mkongo yule akiwa na Wawa na ngoma inakwenda.
Kulia kule anaanzaga yule Isra naona hajatulia sana kama Kapombe ambaye kasi yake imepungua sana.
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Kulia kule anaanzaga yule Isra naona hajatulia sana kama Kapombe ambaye kasi yake imepungua sana.
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app