Koboko (black mamba) ana kiburi, jeuri na dharau sana ila nitamfundisha adabu

Mwanzoni mwa uzi nilijua anasemwa mtu ila nimepitia hadi comments naona koboko kweli ila sijui, ngoja niendelee kusoma
 
Mkuu naona umerudi kivingine, karibu sana
 
Akikugonga ukafa...utuletee na mrejesho pia...

Huyo jamaa hachezewi wala hataniwi...ukisema upambane nae...utakufa wewe yeye atabaki...
Huyu mnyama ni bora umsikie tu,, na ukijaribu kumchokoza yatakayokukuta huu yako
Mkuu hao viumbe sio wamchezo angalia asikudhuru hataniwi muache tu
Umeandika wosia?
Alete na picha anapoenda kuzikwa baada ya kugongwa na huyo kiumbe.
Hao viumbe hawanaga utani kabisa...
Ushauri tafuta watu wa maliasili wadili nae. Ni hatari mkuu.
Hii koboko nyoka kweli au mambo ya codes
aisee mbona mnamtisha sana?
 
Kwa Hiyo una mpa ushauri gani huyu...... mtarajiwa? (Kama akienda kumchokoza kweli lakini)

Ila akienda akiwa anapuliza lile jana la Mh kasheku na mzee wa imalaseko anaweza kushinda hiyo vita kiulaini.
 
Koboko mmoja anaweza akang'ata watu 100, mmoja baada ya mwingine...na wala asichoke...lbd mkimbie wenyewe...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…