Njemba Soro.
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 3,246
- 5,757
- Thread starter
-
- #21
yule hupaswi kumsogelea... nitamuua kesho.Uwe makini sana, kuna mwenzako aliyewahi kumtafuta kama wewe. Alipofika Alipokuwa, akawa anachomachoma kwenya majani alipoingilia.
Akachoma mara ya kwanza, ya pili, ya tatu nyoka akapanda na fimbo yake iliyo mkononi na kumuumauma. Haikuchukuwa muda jamaa akavuta.
Kwa hiyo uliposema hivyo umenikumbusha yule marehemu.
Ukienda kumua usisahau kuchukua video ili kutuaminisha zaidi...,Habari za muda wandugu,
Huyu mpumbavu koboko kuna mahali ameamua kuhamia na sasa anaishi kama kwake, kila asubuhi nakuta yupo juu ya mti halafu anafoka sana na hataki nipite.
Sasa usiku huu narejea nakuta kachelewa kurudi halafu kanifokea tena na nimempotezea tu akatulia nikapita.
SASA KESHO NAHAKIKISHA ANAKUFA NA PICHA NITAWEKA HAPA MAANA NAONAANAVUKA MIPAKA HUYU MSHENZI.
ana speed sana na anapanda kwenye mti kwa kurukia matawi kama kima, yani hapandi kwa kutumia shina la mti, yeye anajiinua anasimamia mkia halafu anatega juu huko. Ukisikia fuuuuuuuuu....UJUE MSHIKAJI YUPO ILA KESHO NAKULA NAYE SAHANI MOJA.
Umesha shiba zako ugali na mchuzi na ngogwe ..unakuja kutolea shibe humu
Habari za muda wandugu,
Huyu mpumbavu koboko kuna mahali ameamua kuhamia na sasa anaishi kama kwake, kila asubuhi nakuta yupo juu ya mti halafu anafoka sana na hataki nipite.
Sasa usiku huu narejea nakuta kachelewa kurudi halafu kanifokea tena na nimempotezea tu akatulia nikapita.
SASA KESHO NAHAKIKISHA ANAKUFA NA PICHA NITAWEKA HAPA MAANA NAONAANAVUKA MIPAKA HUYU MSHENZI.
ana speed sana na anapanda kwenye mti kwa kurukia matawi kama kima, yani hapandi kwa kutumia shina la mti, yeye anajiinua anasimamia mkia halafu anatega juu huko. Ukisikia fuuuuuuuuu....UJUE MSHIKAJI YUPO ILA KESHO NAKULA NAYE SAHANI MOJA.
nyanya chunguNgogwe ndio kitu gani mkuu?
Nyanya chunguNgogwe ndio kitu gani mkuu?
Afadhari yako umejaribu kuvunja li code maana wengi wameshindwa hata kutambua kua sio nyoka koboko bali ni mtu. Mimi mwrnyewe sijamjua ila ukicheki maelezo ya mtoa maada unaona kabisa haongelei nyoka halisi bali mtuHuna adabu kijana yani umeshampa jina la koboko,
Kwanini ulazimishe kupita hiyo njia wakati kuna koboko na unaifahamu hatari yake..
Alafu amekupa onyo baso husikii..
Umemzidi umri lakini pumbavu inakuja tu yenyewe harakaharaka
Kwanza speed yake ya kung'ata ni hatari kuliko cherehaniAkikugonga ukafa...utuletee na mrejesho pia...
Huyo jamaa hachezewi wala hataniwi...ukisema upambane nae...utakufa wewe yeye atabaki...
Zamani sana niliwahi kumkuta kwenye ka kichaka fulani hivi lakini nilikuwa cjajua kama ni yeye, nikaanza kumrushia mawe na fimbo yeye akawa anajirudisha nyuma na mi namfuata, ghafla nikastukia nanyakuliwa navutwa kwa nguvu kurudishwa nyuma, wakati bado nashanga shangaa nikatulizwa na vibao viwili matata sana, akili kuja kukaa sawa nikamsikia aliyenivuta anasema (mama mmoja hivi hata simjui) we mtoto mjinga sana, hivi KOBOKO ni kuchezea hivyo unadhani huyo ni kifutu eeh (KIFUTU ni yale manyoka manene ambayo ni nadra sana kukuuma, lakini likikuuma unaoza kwa haraka sana kuanzia pale ulipoumwa)
Kumbe lile dude wakati linarudi nyuma lilikuwa limeshakasirika, basi ile jioni tukasikia kwenye ka kichaka kalekale mbuzi 12,ngombe 2, kondoo 4 na mchungaji wao walikuwa wamepoteza maisha, basi yule mama aliyeniokoa pale kimiujiza akaja kusema nyumbani......nikajikuta nachezea kipigo kizito kutoka kwa mama, halafu baadae ndio akanipa darasa kuhusu hilo DUBWASHA......ndugu yangu wewe nakusihi tu ungeachana na huo ujinga unaotaka kujaribu kuufanya