Knowing The Unknown

Du siamini kama most wa ushauri uliotolewa na jinsia ya kiume hapo juu unatatoka miyoyoni mwao.,au., bado wapo wenye mioyo hiyo kama wapo Lihimidiwe.chukua mawazo ya Petcash na Yasitha kukimbia tatizo sio suluhu face it hutapungukiwa kitu maishani,lakini ukilikimbia utapungukiwa coz dhamira itakusuta maishani na usijeshangaa mkeo akija kuwa na kichanga cha miezi 2 maisha yakawavurugikia akaenda kuwa housemaid kumbe laana umeibeba.aliyekwambia kunyonyesha ni kinga ya ukimwi na mimba nani?what if akikwambia umempa mimba?YOU REAP IT THEN........
 
Wewe umetumwa kazi kwanini mapenzi? Alafu una umri gani?
 
Na yeye ana umri gani? Isije ikawa wa kwanza alibaka na wewe umerudia tena vivyo hivyo.
 
ahsanteni wote kwa ushauri wenu. Tatiizo hili sasa nimeishatatua.
 
ahsanteni wote kwa ushauri wenu. Tatiizo hili sasa nimeishatatua.

huyu jamaa alkuwa anacheza na akili za watu humu jamvini kwani kila mara nilishindwa kutoa ushauri kutokana na uptodates alizokuwa anakuja nazo! anyway kama umetatua..vema kama ni kweli na ukafanya ubaya, malipo dunuani.
 
Sister wangu alikuwa mmoja wa watu niliomueleza baada ya kuona sipati ushauri mzuri na wa maana hapa. Well kafoka foka lakini unajua tena wanawake wakiwaka unakuwa kimya, Anyway alivyomaliza akanambia nimtumie yeye namba na hiyo laki 3 alafu yeye ataongea naye. Nkafanya hivo, sasa leo nimeongea na yule bibie kasema sis kamtumia laki 5 na kamuelekeza akapange na ajibane vipi wakati anatafuta kazi. Keshajulishwa atakavyomaliza hiyo hela ahakikishe kapata kazi.

Ila mi sishangai Mwisho wa mwezi huu ndugu zangu so watu tumekinga si unajua tena ukifika.

Kiufupi Siji kutongoza mdada mwenye Kichanga tena. Mwezi huu budget yangu imevurugika mbaya mpaka sijui ka ntaumaliza bila kukopa.

umelitatuaje, please tupe yaliyojiri.
 
Pongezi sana

kwakweli mmeli-handle hili suala vizuri sana. Nilikuambia toka mwanzo unaonekana wewe ni mtu mzuri. Inaelekea ukoo wenu wote ni watu safi. Heri wale wenye moyo safi .............................

Hamjam dump mmemuacha kwa amani.
 

kama kweli umelitatua tatizo kama unavyosema then ubarikiwe!
 

Rudia kuangalia maneno yako hapo kwenye rangi. Unampenda binti huyu na unamthamini ndio maana unakosa raha. Sasa jitahidi kadri ya uwezo wako umsaidie. Nakuomba sana umsitelekeze. Kila la heri.
 
Hahaha unanifurahisha ndugu yangu. Hapa keshaingia kwenye blacklist siku nyingi yaani namba yangu haitopatikana kwake. Sitaki hata kumsikia sio kumuona tu. Kwenye maisha haitakiwi uchukue matatizo ya mwenzio umpokee. Mwenyewe nimejizoelea wanawake wa Dar akishaona unamkatia simu anatuma vi msg viwili vi 3 alafu anakushiti. Ila huyu alikuwa anaagua kilio utadhani kafiwa. Nimekula hasara kubwa hapa hela yangu inaniuma sanaaaaaaaaaaaaaaaa. Imenibidi nigombanie daladala kuja kazini leo. Na maisha haya mwezi huu mzima kuja kazini na kurudi. Natamani niombe hela yangu irudi. Mateso matupu. Alafu yeye ukiangalia hajateseka hata kidogo katoka guest kaenda kuishi na kitita cha hela.

Rudia kuangalia maneno yako hapo kwenye rangi. Unampenda binti huyu na unamthamini ndio maana unakosa raha. Sasa jitahidi kadri ya uwezo wako umsaidie. Nakuomba sana umsitelekeze. Kila la heri.
 

Siku zote mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu. Huyu binti ana kichanga alikuwa na income yake kwa mwezi ya shilingi 150,000 si haba kwa kuweza kupata mahitaji yake muhimu na kichanga wake. Sasa wewe umepata starehe zako na inaelekea unataka kumtelekeza. Unadai analia sana kama kafiwa, kwake huyu binti kilichomtokea ni kama msiba mkubwa sana maana huyo aliyekuwa anamtunza ndio kishasepa na wazazi wake ndio wameshamtenga.

Huu ni msiba mkubwa sana kwa huyu binti hana income yoyote hana pa kwenda kujisitiri yeye na kichanga wake angekuwa kama ni dada yako sidhani kama ungeandika uliyoyaandika eti umekula hasara kubwa sana.
 
ungefaa kushikwa ugoni tu! vp hajakuachia kale kakitu??
 
Finaly jana nlipata courage ya kumwambia ahadi zote za kumuoa ama kumleta dar zilikuwa ni za uongo. Na sasa kimpango wake, akaomba nimtafutie kazi hata ya u house girl tu. So mwenye kuhitaji mschana wa kazi mwenye kichanga cha miezi mi 5 ani pm.

:A S cry:
:A S cry::A S cry:
:A S cry::A S cry::A S cry:
 

Hayo ndio maneno.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…