Piga Lita moja kwa Km 10 kama utaendesha kwa wastani wa Km 120/hr. Ukizidi speed hiyo consuption inaongezeka huenda ikawal lt1 kwa km7, kwa speed 120 na zaidi.
Tu-assume gari ipo katika condition nzuri, 2L engine itaenda kwa fuel consumption ya 10km/L kama alivyosema. Speed yako iwe 80-100kph. Kukanyaga sana mafuta kutasababisha ulaji zaidi. Pia, condition ya gari yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.