Landcruisers ndio zinamudu safari ndefu?
Kwani hizi Kluger, Subaru Forester, Xtrail, Mark X, Vanguard, Noah.... ukipiga nazo ndefu, Dar - Songea au Dodoma - Kigoma zinachemsha njiani?
Eeeeh?
"Wamarekani wana mabarabara mazuri kwa hiyo wanataka gari zinazochanganya haraka"!
Kwani gari kubwa ndio accelaration zinakuwa kubwa zaidi?
Hayo mambo hivi kuna mahala authoritative umesoma au ni ma fikra yako tu ya kichwani mwako???