Kleruu Teachers College

Kleruu Teachers College

Evans-Arsenal

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2016
Posts
868
Reaction score
1,385
Kwa walimu waliosoma hapa au wanafunzi wanaotarajia kwenda january hii naomba kujua mazingira ya chuo na sehemu kilipo mpaka kufika chuoni na pia naomba kujua Sheria zao kwa diploma zipoje wakuu
@nmechaguliwa hapa naombeni msaada wenu
 
Last edited by a moderator:
Usiogope kwenda Klerruu TC. Ni chuo kizuri sana! kipo kama kilometa moja na kidogo tu kutoka stendi ya mkoa. Huduma muhimu zote zinapatikana kama ishu ya maji ndo usiseme yanamwagika muda wote! umeme safi, chuo kipo mjini eneo la kihesa. Baridi tu ipo lakini sio kivile. Principal na wakufunzi wako fair kiasi chake. Kiujumla huwezi jutia, kapige shule kijana! isipokua tu kajiepushe na anasa kwa pale utapotea.[/QUOTE]
 
Last edited:
Kwa walimu waliosoma hapa au wanafunzi wanaotarajia kwenda january hii naomba kujua mazingira ya chuo na sehemu kilipo mpaka kufika chuoni na pia naomba kujua Sheria zao kwa diploma zipoje wakuu
@nmechaguliwa hapa naombeni msaada wenu
haujatumiwa joining instruction?!
 
Kwa walimu waliosoma hapa au wanafunzi wanaotarajia kwenda january hii naomba kujua mazingira ya chuo na sehemu kilipo mpaka kufika chuoni na pia naomba kujua Sheria zao kwa diploma zipoje wakuu
@nmechaguliwa hapa naombeni msaada wenu
Umechaguliwa kusomea kitu gani mana na mimi nimechaguliwa hapo pia
 
Usiogope kwenda Klerruu TC. Ni chuo kizuri sana! kipo kama kilometa moja na kidogo tu kutoka stendi ya mkoa. Huduma muhimu zote zinapatikana kama ishu ya maji ndo usiseme yanamwagika muda wote! umeme safi, chuo kipo mjini eneo la kihesa. Baridi tu ipo lakini sio kivile. Principal na wakufunzi wako fair kiasi chake. Kiujumla huwezi jutia, kapige shule kijana! isipokua tu kajiepushe na anasa kwa pale utapotea.
[/QUOTE]
Shukuran mkuu
 
Usiogope kwenda Klerruu TC. Ni chuo kizuri sana! kipo kama kilometa moja na kidogo tu kutoka stendi ya mkoa. Huduma muhimu zote zinapatikana kama ishu ya maji ndo usiseme yanamwagika muda wote! umeme safi, chuo kipo mjini eneo la kihesa. Baridi tu ipo lakini sio kivile. Principal na wakufunzi wako fair kiasi chake. Kiujumla huwezi jutia, kapige shule kijana! isipokua tu kajiepushe na anasa kwa pale utapotea.
[/QUOTE]
Ulimaliza mwaka gani mkuu?
 
Chuo kipo iringa mjini, ukishuka stendi kuu unapanda daladala za kihesa unashuka kituo cha sambala utakuwa umefika, mazingira ni safi, maji, usalama, ila usisahau kwenda na neti maana mbu wapo,
 
Usiogope kwenda Klerruu TC. Ni chuo kizuri sana! kipo kama kilometa moja na kidogo tu kutoka stendi ya mkoa. Huduma muhimu zote zinapatikana kama ishu ya maji ndo usiseme yanamwagika muda wote! umeme safi, chuo kipo mjini eneo la kihesa. Baridi tu ipo lakini sio kivile. Principal na wakufunzi wako fair kiasi chake. Kiujumla huwezi jutia, kapige shule kijana! isipokua tu kajiepushe na anasa kwa pale utapotea.
[/QUOTE]
Mkuu si kilomita 1 toka stendi ya mkoa.Hapo ume" exagrate. ".Nimeishi hapo kuanzia 1978 mpaka 1997.
 
Kwa walimu waliosoma hapa au wanafunzi wanaotarajia kwenda january hii naomba kujua mazingira ya chuo na sehemu kilipo mpaka kufika chuoni na pia naomba kujua Sheria zao kwa diploma zipoje wakuu
@nmechaguliwa hapa naombeni msaada wenu

Nenda kasome Ndugu chuo kipo sehemu nzuri kuanzia mazingira, huduma muhimu hadi elimu yenyewe, Majengo mazuri....!!
 
Mkuu si kilomita 1 toka stendi ya mkoa.Hapo ume" exagrate. ".Nimeishi hapo kuanzia 1978 mpaka 1997.[/QUOTE]


Inawezekana ikawa pungufu au hata zaidi ya km 1 na kidogo! Nimekadiria kutoka stendi kuu na upite barabara kuu ya Dodoma! kwa mwenyeji nafahamu ni pafupi zaidi kwa kuwa zipo njia za mkato ambazo ni fupi zaidi ila kwa mgeni nadhani nipo sahihi.
 
Ulimaliza mwaka gani mkuu?[/QUOTE]


Kusema ukweli sikusoma chuo hicho ila tu nilishafika hapo zaidi ya mara tatu miaka iliyopita kwa ajili ya semina na kuishi kwenye mabweni ya chuo for sometimes. Yote yaliyo elezwa na wadau wengine ni ya kweli na course mnazoenda kusoma hasa hiyo ya higher diploma ktk masomo ya sayansi itasaidia sana kutatua hili tatizo la upungufu wa walimu ktk shule zetu za kata.

Hongereni sana walimu watarajiwa kwa kuchaguliwa Klerruu tc. Mkapige kitabu ili mje kuwa walimu bora na si bora walimu. All the best!!!!
 
Ulimaliza mwaka gani mkuu?


Kusema ukweli sikusoma chuo hicho ila tu nilishafika hapo zaidi ya mara tatu miaka iliyopita kwa ajili ya semina na kuishi kwenye mabweni ya chuo for sometimes. Yote yaliyo elezwa na wadau wengine ni ya kweli na course mnazoenda kusoma hasa hiyo ya higher diploma ktk masomo ya sayansi itasaidia sana kutatua hili tatizo la upungufu wa walimu ktk shule zetu za kata.

Hongereni sana walimu watarajiwa kwa kuchaguliwa Klerruu tc. Mkapige kitabu ili mje kuwa walimu bora na si bora walimu. All the best!!!![/QUOTE]
Shukurani mkuu,kleruu tutafika hapo
 
Back
Top Bottom