kidunula1
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 6,299
- 6,321
Ni kama Konde boy alivyoflop kule uarabuni?hana maajabu misimu miwili goli mbili kwi kwi
Ni kama Konde boy alivyoflop kule uarabuni?hana maajabu misimu miwili goli mbili kwi kwi
Orlando ndo ilicheza fainaliMshambuliaji hatari angeanzaje kutemwa na club yake ambayo imecheza mpaka fainali?
Bila shaka kaizer chiefs wamegundua ipo sababu ya wao kushindwa kuchukua kombe kwenye fainali ya CAF federation a sababu hiyo imechangiwa na wimbi la wachezaji mizigo
Timua timua imeanza sasa kila mchezaji ambaye alionekana kimeo ametimuliwa, ajabu kuna timu nyingne inakuja kumpokea na kumpa sifa tele ambazo naamini hata kaizer watakuwa wanashangaa
Na hapo bado hamjafika hata group stageYanga bingwa,Yanga still unbeaten,Mayele anaongoza kwa magoli npl
Thanks for correction huwa nachanganya hizi clubOrlando ndo ilicheza fainali
Kwani bado ni mchezaji wa simba?Ni kama Konde boy alivyoflop kule uarabuni?
Chama hakutimuliwa alivunja mkatabaKwa hiyo ni mzigo kama ilivyokuwa kwa Chama pale Berkane?
Na tunataka muwe na ubunifu huo huo na pale mnapofukuza wachezajiNyie Makolo Hivi Ndivyo Mchezaji Anatambulishwa Sio Kukenua Mimeno Kaa Chizi! View attachment 2263228
Hahaha hii record ni very worst yani miaka miwili goli 2??
KAIZER CHIEFS ILICHEZA FAINALI PIA IKAFUNGWA NA AL AHLY akapigwa 3 mwaka 2020/2021 Champions leagueThanks for correctionhuwa nachanganya hizi club
Kwani Mimi nimesema ni mchezaji Wa Makolo?Kwani bado ni mchezaji wa simba?
Tunaamini Kambole Wa Zesco atarudi, Pia tunaamini Orlando wameshindwa kumtumia kama mlivyoshindwa kumtumia MorrisonHahaha hii record ni very worst yani miaka miwili goli 2??
Nakuambie mpeni manula mechi 20 atafute goli mbili mtakuta katoka na goli 4 na assist kadhaa
Ndio maana hata Yanga wameona mmh huyu masai tukimpa contract ya kuanzia mwaka anaweza kutuachia shuka
Wamempa mkataba wa miezi 6
Mkataba wa mchezaji unakuwa na life span kama mkataba wa kupangisha fremu
Yani kiufupi hata ule mkataba wanaopeana bodaboda ni mzuri kuliko huu
Miaka miwili magoli mawili, huu ni uzembe wa namna gani, unajiita mshambuliaji lakini record zako ni kama golikipa
Kuchukua kombe kumewafanya watu wachanganyikiwe wamekosa hata mpangilio mzuri wa ku sort wachezaji, huyu wamemchagua kwa kigezo kipi au sijui kwasababu jina lake lilikua juu kwenye list?
Mshambuliaji miaka miwili kiwanjani una goli mbili (tena uskiute zote za penati)ashoboke nani mmesajili dude
kwi kwi herai anawafanya atakavyoView attachment 2263259
Mchezaji aliyeachwa na Kaizer ana maajabu gani!!!????Mabingwa wapya wa Tanzania, Dar Young Africans maaarufu kama Yanga usiku huu imetangaza kumsajili mshambuliaji hatari Lazarus Kambole
Kambole ambaye ni raia wa Zambia amejiunga na Yanga kama mchezaji huru baada ya kuachwa na miamba ya Afrika Kusini Kaizer Chiefs
Ujio wa Kambole ni faida kwa safu ya ushambuliaji ya Yanga inayoongozwa na mshambuliaji hatari anayeongoza kwa kufunga katika ligi kuu ya Tanzania Bara, Fiston Kalala Mayele.
View attachment 2263180
Kambole ni noma mkuu, ni top top strikerMchezaji aliyeachwa na Kaizer ana maajabu gani!!!????
Kambale hawezikuwa na maajabu yeyote, ameshindwa kuonesha imlact kwenye club yenye wachezaji wazuri wakumsaidia kufunga ndio aje huku uto?Tunaamini Kambole Wa Zesco atarudi, Pia tunaamini Orlando wameshindwa kumtumia kama mlivyoshindwa kumtumia Morrison
Unasifia mpaka umepitiliza au unataka kumkopa?Kambole ni noma mkuu, ni top top striker
Yeah nakumbuka hilo ila lengo la mimi kuandika kaizer nililenga ku refer mashindano ya CAF federation ambapo sikuwa sahihi kuitaja kaizerKAIZER CHIEFS ILICHEZA FAINALI PIA IKAFUNGWA NA AL AHLY akapigwa 3 mwaka 2020/2021 Champions league
Zile pass za upendo za Sureboy, Dr Aucho, Pass Master Feitoto, Farid Mussa, aisee Kambole atakuwa adui mkubwa wa magolikipaUnasifia mpaka umepitiliza au unataka kumkopa?
Hatimaye wamatopeni mmevua Kambale!!!Kambole ni noma mkuu, ni top top striker
Kama kocha ndio amemtaka mimi sina neno huenda ana plan naye nyingine, lakini kama amesajiliwa kwa kuwa straiker nadhani ni Ditram Nchimbi mpya huyu.Kambale hawezikuwa na maajabu yeyote, ameshindwa kuonesha imlact kwenye club yenye wachezaji wazuri wakumsaidia kufunga ndio aje huku uto?
Orlando wameshindwa kumtumia au yeye ndio ameshindwa kujitumja?
Man ebu kuwa serious two years kwenye club una goli 2, goli 2 kweli nawe ni mashambuliaji?
Hivi unafikiri kwanini wameamoa kimkataba chenhe deadline ya miezii 6 kama anapanga frem?
Yani kwa tafdiri fupi ni kwamba akipanga gheto leo hapo masaki miezi sita, asihangaike kuongeza mkataba aanze kufanya utaratibu wa kuangalia wapi atahifadhi asset zake