Hauwezijua labda mnaongoza
Wanakufa Hawa Leo usiogopeHamna juhudi mbona? Mwanzoni mlifanya vizuri.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Acha uchawi weweKinachoenda kufanyika ni kinyume cha kilichotokea. Kule walianza na 5 wakamaliza na bila.
Huku wanaanza na bila, watamaliza na 5.
Tabu iko palepale.
Washaanza na bila tayari. Subiri wamalize na 5 ndio uamini ili kesho uje nikupe dawa ya ngekewa
Ni kweli anayetakiwa kutoka ni bocco tu kwasababu mipira mingi anapoteza. Halafu chama na mkude wanachelewesha sana mipira mpaka waarabu wanaziba nafasi zotePossession 54 waarabu 46, attempt 7 on target 1, mnacheza lkn mtu wa kupiga zile killer pass hamna hapo lazima mumuingize Dilunga. Kosa jinge waarabu wanapoozesha mpira na nyie mmekubali kupoa.
Mmechana mkeka wangu
Mmechana mkeka wangu