Kabisa chief, dua zielendelee walau tupate sare uarabuni halafu tumalizane na wenge bcbg kistaarabu kabisa hapa kwa mchinaKundi limekuwa tamu sana
Simba bhana... dah!
Ngoja nisukutue kwa K Vant...
Hahaaaa. Lol.
Dada ake upooo
I'm the girl from nowhere,... the one no one will miss .... that's why they choose me...
Nipo mpenzi. Ukinimisi uwe unanipigia simu basi.Babu nimekumiss upo ?
I'm the girl from nowhere,... the one no one will miss .... that's why they choose me...
Mwarabu akikosea akatupa droo... kwisha kazi. Si tumwombee wenge musica wamtandike mwarabu wetu wa jana... Baaasi! Mechi za mwisho zitakuwa kufa na kuuanaKabisa chief, dua zielendelee walau tupate sare uarabuni halafu tumalizane na wenge bcbg kistaarabu kabisa hapa kwa mchina
Sent using Jamii Forums mobile app
Bahati nzuri ni kuwa Mungu huwa hasikilizi dua za wenye roho mbayaSimba katika mechi 2 zilizo baki kabakisha point 1 tu. Akienda kwa mwarabu anakufa, vita akija atatoa naye sare. Simba Na Vita ndio watakao tolewa kwenye group lao
Mwarabu akikosea akatupa droo... kwisha kazi. Si tumwombee wenge musica wamtandike mwarabu wetu wa jana... Baaasi! Mechi za mwisho zitakuwa kufa na kuuana
Ok!tabiri Na mechi ya j/mocSimba katika mechi 2 zilizo baki kabakisha point 1 tu. Akienda kwa mwarabu anakufa, vita akija atatoa naye sare. Simba Na Vita ndio watakao tolewa kwenye group lao
😂😂😂
Duuh! Hivyo mpira tu unilize. Hamna kitu ka hiyoo.
Saut ya Dada Wa Mwendokasi Kituo kinachofata Ni jangwanDuuh! Hivyo mpira tu unilize. Hamna kitu ka hiyoo.
Kikubwa tuombe uzima.
Haya bana. Bado kesho tu.
Utatusamehe maan inabidi mfungwe tu hamna namna nyengnHaya bana. Bado kesho tu.
Kabisa maana hawa warabu wemeingiza damu za kiafrika..game itakuwa ngumu sana ingawa simba watapata ushindiJumanne patakuwa hapatoshi