minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 23,421
- 22,433
Kanisani watu ibada siku hizi ni kuzungumzia serikali na kutoa amri. Mungu wa wakristo yupo kwenye mikono ya wanasiasa.
Misa iliendeshwa kwa Hisani ya Mengi
Kanisani watu ibada siku hizi ni kuzungumzia serikali na kutoa amri. Mungu wa wakristo yupo kwenye mikono ya wanasiasa.
kwa wale wanaosifia mtu mwenye maamuzi magumu, kikwete naye ana maamuzi magumu sana mpaka watu kushindwa kumwelewa. kutokutoa uaamuzi kwenye issue nyeti/sensitive nayo ni uamuzi mgumu. Iddi amin alikuwa na maamuzi magumu, vichaa nao wa maamuzi magumu, kuvamia nchi na kunyang'anya kipande cha nchi nyingine kama alivyofanya Putin huko Ukraine ni maamuzi magumu na sasa nasikia Lowasa naye ana maamuzi magumu ya kwenda kutafuta artificial rain huko Asia au kumtishia mtoto aliyeuliza kwanini viongozi wana vyeo zaidi kimoja. mtu angesifiwa kuwa ana maamuzi sahihi anafaa kuwa raisi ningewalewa. lakini wanasema jamaa ana maamuzi magumu ni kuchunga sana maana hata vichaa wa maamuzi magumu.
Mengi ni Fisadi number one na maasikofu nao ni mafisadi siku hizi hakuna mtu wa kumwamini hata Mengi Mwenyewe kapigwa Pesa na Akina Sendeka na Abdul Mtegeta na wameshindwa kumng'oa Muhongo, huo pia ni Ufisadi wa ndani kwa ndani, Mengi ni Fisadi lakini na yeye kufanyiwa Ufisadi na akina Sendeka, yaani ni piga nikupige.
Misa ikifanyika Moshi Nyumbani kwao Mengi kwa Hisani ya Mengi unategemea dr shoo angesema nini zaidi ya kumfurahisha Mengi ambaye alifhadhili Hiyo misa.
Ebu soma vizur ulichokiandika kama utaelewa mwenyewe......
Una matatizo sana yote sababu ya mainterahamwe vinginevyo nchi isingekuwa na mizigo kama wew inayoishi kwa majungu..
Muumini wa kawaida akizaa nje ya ndoa, kanisa linamtenga, Tajiri akizaa nje ya ndoa na binti sawa na mjukuu wake, Kanisa linamkumbatia.
Kanisani watu ibada siku hizi ni kuzungumzia serikali na kutoa amri. Mungu wa wakristo yupo kwenye mikono ya wanasiasa.
kweli unaonambali ,umeona jinsi askofu kilaini alivyojijazia minoti ya umma halafu anajiita mcha mungu.anaombea maskini huku anawafyonza viutomvu vya uhai.