Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 58,063
- 134,408
Katika ibada ya jumapili ya leo huku Moshi Askofu wa KKKT Dr.Fredric Shoo amemtaka Rais Kikwete na serikali ya CCM wasiwaweke viporo mafisadi.Akihutubia waumini wa dhehebu hilo Dr.Shoo amemtaka rais kuacha kulea watu wachafu ndani ya utendaji wake. Katika misa hiyo walihudhuria pia Dr. Alex Malasusa,Mh.Mbowe,Lowasa na Dr.Mengi.Aidha Dr.Malasusa amesisitiza kuwa amani ni zao la haki,kwamba ili amani izidi kutamalaki ni lazima serikali itende haki kwa watu wake