Acheni ushamba mleta mada sijui kala maharage ya wapi. sikuheshimu tena!
KIZURI DAIMA DUMU;;; hakina kasoro.hata moja na kitaendelea kuwa kizuri tu popote hapa Duniani. hizo kasoro unazoziona ni wewe muonaji ndo unazo tena dhaifu basi... eti msomi anakuona boya! haya! wewe ndo unajiona si kitu mbele zake amesha kuoa tu yatosha kukuthamini.....hata akikubeba mgongoni utasema ''ananifanyia research huyu bwana;; tayari unalianzisha na kusema
'' yaani mmm! umeacha kufanya study research kwa watu wooote hao waja kwangu jamani umenichoka ''
Tajiri naye vilevile akimzika baba yake kwa gharama za juu utaanza ''' mjomba yangu hajaambiwa kuhusu hii taarifa. huyu bwana ana dharau sana.unasononekaaaa! lkn yeye anadunda tu kusaka noti. jioni akirudi umejikunyatta.
SULUHISHO SASA ;;kama unaona hao unaowaita wana kasoro waache waende zao; na mali zao watakutana wasomi kwa wasomi, tajiri kwa tajiri wachache kama mimi ambao tumeoa BRITISH ROYAL FAMILY. tuna raha sana akifoka na mimi nafoka,af tunapena sorry ya kizungu, ngoma draw. si amenipenda bana sasa. mnachefua sana.