Haha,yaani 24 kwa siku?
Duh,kuna mzee alinisimulia kaanza kuvuta akiwa sekondari.
Hadi leo ana wajukuu wako sekondari lakini bado anavuta tena sio chini
ya 3 kwa siku.
Kinacho nishangaza ni kwamba HAJAFA anapeta tu sijui mapafu yake yana hali
gani saivi,wengine ukijaribu siku mbili
tu unakohoa kama ndo unataka kutoa roho,una nuka mdomo...............