Wacha1
JF-Expert Member
- Dec 21, 2009
- 16,676
- 8,246
Katika kutekeleza ilani ya CCM na kuinua maslahi ya Wananchi wa Tanzania, kuona kwamba rasilimali za nchi hii zinaweza kutuondoa umasikini wetu kabisa na kuwa nchi ambayo ni mfano wa kuigwa. Makusanyo ya kodi yameongezeka kwa kiasi kikubwa na mkombozi wetu ni rasilimali zetu ambazo wapo waliotuaminisha kwamba tutashitakiwa nk.
Nafahamu wapo wengi ambao kazi yao kubwa ni kubeza na kuropoka, kama wewe ni mojawao pita tu huna sababu ya kusoma lakini kama wewe unaweza kujibu hoja kwa hoja karibu.
Nafahamu wapo wengi ambao kazi yao kubwa ni kubeza na kuropoka, kama wewe ni mojawao pita tu huna sababu ya kusoma lakini kama wewe unaweza kujibu hoja kwa hoja karibu.