Prince Juzo
Member
- Feb 4, 2018
- 65
- 88
Nahitaji kiwanja kilichopimwa au kilicho maeneo ya makazi dodoma mjini. Nina 1 milion. Asa asa maeneo ya nzuguni, nkuhungu au popote ila isiwe mbali na mjini. Ila nataka sana kilicho pimwa. Kama unacho ni PM ili tuongee biashara.