Kiwanja na pagale VINAUZWA,Mtwara mjini

Kiwanja na pagale VINAUZWA,Mtwara mjini

Accidental Genius

Senior Member
Joined
Aug 17, 2019
Posts
154
Reaction score
188
Kiwanja 45x45 kikiwa na pagale kinauzwa.

Vyumba 4 na 2 master.

Eneo zuri na kubwa

Kipo Mtwara mjini hatua chache toka stendi kuu ya Mabasi Chipuputa.

Hatua chache toka main road ya Mtwara to DSM.

Hatua chache toka ufukweni.

Umeme na maji vimefika.

Bei 54mil.
IMG_20190820_111614.jpeg
 
Kiwanja 45x45 kikiwa na pagale kinauzwa.

Vyumba 4 na 2 master.

Eneo zuri na kubwa

Kipo Mtwara mjini hatua chache toka stendi kuu ya Mabasi Chipuputa.

Hatua chache toka main road ya Mtwara to DSM.

Hatua chache toka ufukweni.

Umeme na maji vimefika.

Bei 54mil.View attachment 1186636
ft 45,kwa 45 sawa na 15m kwa 15m,uko timamu kweli?au unamaanisha 5.5m?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom