Kama una mil 6.,kuna mtu anakiwanja hivi vilivyotangazwa juzi kapata lakini inaonekana hana hela ya kukilipia ila yeye kakipata kwa 4.875,sasa anataka na cha juu.Ila ni square meters kama 1375.Mie nimechemka.sikumbuki ni maeneo gani ila ukifika pale ofc za jiji wamebandika majina ya hilo eneo.Au ongea na wale walinzi wa jiji wanajua watu walio navyo maana,watu walipewa deadline ya ijumaa last week.
kwa pande za hapa mwanza unatafuta kiwanja,maeneo ya malimbe,luchelele,sweya,kijiweni,nyegezi kona kweli kuna viwanja lakin sikushaur ujenge nyumba ya kuish eneo hilo labda hostel ndo sehemu ambazo wanachuo wanaish kuna usumbufu ambao si walazima ningekushaur at least ukachek maeneo ya kiseke,bwiru,nyamanolo yaan kwa ushaur ni kwamba wilaya ya nyamagana kuna social unrest nying sana angalau ilemela
Natafuta kiwanja cha kujenga mwanza wandugu kwa anayeuza.
NI PM nikupe habari
ulanguai na rushwakama una mil 6.,kuna mtu anakiwanja hivi vilivyotangazwa juzi kapata lakini inaonekana hana hela ya kukilipia ila yeye kakipata kwa 4.875,sasa anataka na cha juu.ila ni square meters kama 1375.mie nimechemka.sikumbuki ni maeneo gani ila ukifika pale ofc za jiji wamebandika majina ya hilo eneo.au ongea na wale walinzi wa jiji wanajua watu walio navyo maana,watu walipewa deadline ya ijumaa last week.
Kama una mil 6.,kuna mtu anakiwanja hivi vilivyotangazwa juzi kapata lakini inaonekana hana hela ya kukilipia ila yeye kakipata kwa 4.875,sasa anataka na cha juu.Ila ni square meters kama 1375.Mie nimechemka.sikumbuki ni maeneo gani ila ukifika pale ofc za jiji wamebandika majina ya hilo eneo.Au ongea na wale walinzi wa jiji wanajua watu walio navyo maana,watu walipewa deadline ya ijumaa last week.