Mwana Ilala
JF-Expert Member
- Jan 29, 2013
- 1,287
- 483
*Kiwanja Kizuri Ajabu*
Hallo.
Kwa anayehitaji kiwanja kizuri sana. Kwenye barabara kubwa ya Mtaa, huitaji hata nguzo ya umeme. Kiwanja kina nguzo tatu za umeme kwenye kona zote tatu. Zoezi/Utaratibu wa Urasimishaji unaendelea sahv. Huduma zote muhimu kama vile Makanisa/Misikiti/Shule za English Medium/Madrassa/Hosp/Umeme/Maji/usafiri wa uhakika kutoka na kuingia mjini, pia mandhari tulivu.
*NB: kituo cha basi ni CHANIKA KWA DADDY, BAADA YA TALIANI. Mita mia mbili toka barabara ya Lami*
Ni kizuri kwa Plan ya Makazi binafsi/biashara au Nyumba za kupangisha,
Ukubwa wa kiwanja ni (25mita kwa 40mita). Square mita 1000.
Wasiliana na:
0659 110 408, 0687 119412
In the near future, you will be able to construct a condominium like this below.
Hallo.
Kwa anayehitaji kiwanja kizuri sana. Kwenye barabara kubwa ya Mtaa, huitaji hata nguzo ya umeme. Kiwanja kina nguzo tatu za umeme kwenye kona zote tatu. Zoezi/Utaratibu wa Urasimishaji unaendelea sahv. Huduma zote muhimu kama vile Makanisa/Misikiti/Shule za English Medium/Madrassa/Hosp/Umeme/Maji/usafiri wa uhakika kutoka na kuingia mjini, pia mandhari tulivu.
*NB: kituo cha basi ni CHANIKA KWA DADDY, BAADA YA TALIANI. Mita mia mbili toka barabara ya Lami*
Ni kizuri kwa Plan ya Makazi binafsi/biashara au Nyumba za kupangisha,
Ukubwa wa kiwanja ni (25mita kwa 40mita). Square mita 1000.
Wasiliana na:
0659 110 408, 0687 119412
In the near future, you will be able to construct a condominium like this below.