Kiwanja kiwanja kiwanja

Jack Beur

JF-Expert Member
Feb 26, 2010
222
246
Wadau ninauza kiwanja( siyo dalali),kipo Pugu Buyuni,sqr meter 968,bei mil 15.Serious buyer Piga 0779000304
 
yan sasa hivi hizi bei za viwanja sijui kama watu wa kipato cha kwaida tutaweza.kila ukigusa bei juu
 
ni ujinga utauzaje bei ka hiyo kiwanja kipo kushoto hivyo hata kwenda stand ya basi za mikoani ni ishu afu mbaya zaidi sqr mita kama chumba kimoja
 
Thamani yake ni 7 mil tuondolee upuuzi hapa wataka kutajirika bila jasho.
 
jaman muwe mnnafanya na ka-utafiti kidogo kabla ya kukurupuka,
tukichukua bei ya sq m ya kiwanja kilichopimwa na kuuzwa na manispaa pale kinyelez, ni tzs 10,000 kwa sqm. chako ingekuwa ni tzs 9,680,000, hapo una hati, ushachongewa na barabara na upo just 18 km from down town
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom