jaman muwe mnnafanya na ka-utafiti kidogo kabla ya kukurupuka,
tukichukua bei ya sq m ya kiwanja kilichopimwa na kuuzwa na manispaa pale kinyelez, ni tzs 10,000 kwa sqm. chako ingekuwa ni tzs 9,680,000, hapo una hati, ushachongewa na barabara na upo just 18 km from down town