jaman muwe mnnafanya na ka-utafiti kidogo kabla ya kukurupuka,
tukichukua bei ya sq m ya kiwanja kilichopimwa na kuuzwa na manispaa pale kinyelez, ni tzs 10,000 kwa sqm. chako ingekuwa ni tzs 9,680,000, hapo una hati, ushachongewa na barabara na upo just 18 km from down town
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.