kiwanja kiwanja kiwanja kinauzwa bei nzuri

kiwanja kiwanja kiwanja kinauzwa bei nzuri

kawakama

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2010
Posts
1,299
Reaction score
391
wadau wa JF kuna kiwanja kinauzwa eneo: Mtwara mjini mtaa: Mitengo ukubwa:low density ya square meter 1500 na kimepimwa NB:KIPO KATIKA MAZINGIRA MAZURI NA TAMABALALE NI 1KM kutoka katika barabara kuu iendayo dar es salaam na pia kipo jirani kabisa na bahari na mji wa kitalii wa MIKINDANI bei ni maelewano..ni PM tufanye biashara karibuni wadau
 
Gesi itatoka haitoki?maana kama haitoki basi hakuna aja ya kukinunua hicho kiwanja.
 
Weka Bei ya kuanzia itamfanya mtu ajue kama aku-PM au lah!!! Kwa mfano ukisema bei ya kuanzia ni Million100 inanirahisishia mimi niendelee na mambo yangu, watu wengi hawapendi mambo ya kubahatisha bahatisha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom