Kiwanja kinauzwa

Kiwanja kinauzwa

Kikumbu1

Member
Joined
Nov 19, 2015
Posts
33
Reaction score
2
Habari zenu wana JF,

Kunakiwanja kinauzwa kipo Kerege mpakani pale na kipo kama 2km kutoka barabani. Ukubwa ni heka 5. Ila ukitaka heka moja unapata au hata robo heka unapata kwa sh 3.5m. Ukitaka chote unapata kwa sh 55m. Ni kikubwa na kizuri.

Asante
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom