Next Level
JF-Expert Member
- Nov 17, 2008
- 3,153
- 176
Nilikuwa offline kidogo, nilirudi nimeona vijana mmejadili hili dili kwa upana sana, Thanks all of u!!!. Hicho kiwanja hakina hata mti wa kung'oa, nimeshakilima majani mara mbili, Ki-ukweli hutaweza kujutia kukipata. Kupimwa kuna maana kuweka plan ya barabra na huduma nyingine muhimu sehemu. HIVYO SIYO SKWATA HATA CHEMBE.
We kijana vp unaenda offline wakati una-hot dili hapa kijiweni?......kalagabaho.....!
Shapu ....mesikia mineno hiyo? sasa ulete blabla zako tena.......!