Kiwanja kinauzwa kiko mbweni JKT kinaukubwa wa 1452 sqm. Kina hati na kipo mita 300 kutoka ufukwe wa bahari. Kina huduma ya maji tayari kwa ujenzi pia nitambarare. Bei inaanzia 150 milioni na mazungumzo yapo. Kwa mawasiliano piga namba 0717877174.
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums