kama unauza kweli taja bei sio mteja ataje bei, umeshaona wapi mtu kaenda dukani kununua bidhaa halafu ajipangie bei!? wewe mwenye mali ndio unajua thamani ya kiwanja chako. Mwaga bei watu wachakalike.
kama unauza kweli taja bei sio mteja ataje bei, umeshaona wapi mtu kaenda dukani kununua bidhaa halafu ajipangie bei!? wewe mwenye mali ndio unajua thamani ya kiwanja chako. Mwaga bei watu wachakalike.