kama unauza kweli taja bei sio mteja ataje bei, umeshaona wapi mtu kaenda dukani kununua bidhaa halafu ajipangie bei!? wewe mwenye mali ndio unajua thamani ya kiwanja chako. Mwaga bei watu wachakalike.Kina ukubwa wa sqm 900.kina hati miliki. Bei toa ofa yako.kwa mawasiliano piga simu. 0717114409
Naunga mkono hoja...plz mkuu tupe bei!kama unauza kweli taja bei sio mteja ataje bei, umeshaona wapi mtu kaenda dukani kununua bidhaa halafu ajipangie bei!? wewe mwenye mali ndio unajua thamani ya kiwanja chako. Mwaga bei watu wachakalike.
Kina ukubwa wa sqm 900.kina hati miliki. Bei toa ofa yako.kwa mawasiliano piga simu. 0717114409