ndyana Senior Member Joined Jul 12, 2015 Posts 152 Reaction score 28 Jul 13, 2015 #1 Kiwanja chenye ukubwa wa mita 30/25 kilichopo nyakanazi kati mtaa wa sayari, kinauzwa kwa bei nafuu. Kwa mawasiriano piga: 0765354360 au 0688354360
Kiwanja chenye ukubwa wa mita 30/25 kilichopo nyakanazi kati mtaa wa sayari, kinauzwa kwa bei nafuu. Kwa mawasiriano piga: 0765354360 au 0688354360
Ze Heby JF-Expert Member Joined Jun 22, 2011 Posts 5,871 Reaction score 6,626 Jul 13, 2015 #2 Weka bei hapa hapa mkuu
ndyana Senior Member Joined Jul 12, 2015 Posts 152 Reaction score 28 Jul 13, 2015 Thread starter #3 Ze Heby said: Weka bei hapa hapa mkuu Click to expand... Tshs 3.500,000/= tu
V viking JF-Expert Member Joined Aug 23, 2012 Posts 2,289 Reaction score 1,426 Jul 13, 2015 #4 ndyana said: Kiwanja chenye ukubwa wa mita 30/25 kilichopo nyakanazi kati mtaa wa sayari, kinauzwa kwa bei nafuu. Kwa mawasiriano piga: 0765354360 au 0688354360 Click to expand... Vipi kipo mpakani mwa Tanzania na nchi gani
ndyana said: Kiwanja chenye ukubwa wa mita 30/25 kilichopo nyakanazi kati mtaa wa sayari, kinauzwa kwa bei nafuu. Kwa mawasiriano piga: 0765354360 au 0688354360 Click to expand... Vipi kipo mpakani mwa Tanzania na nchi gani
Kilangi masanja JF-Expert Member Joined Aug 20, 2013 Posts 4,622 Reaction score 5,251 Jul 13, 2015 #5 viking said: Vipi kipo mpakani mwa Tanzania na nchi gani Click to expand... nyakanazi sio mpakani though ni njia ya kuelekea mikoa miwili inayopakana na nchi mbili jirani
viking said: Vipi kipo mpakani mwa Tanzania na nchi gani Click to expand... nyakanazi sio mpakani though ni njia ya kuelekea mikoa miwili inayopakana na nchi mbili jirani
S Silva Bilegeya New Member Joined May 1, 2015 Posts 1 Reaction score 0 Jul 13, 2015 #6 Bei ni siri yako?
ndyana Senior Member Joined Jul 12, 2015 Posts 152 Reaction score 28 Jul 14, 2015 Thread starter #7 Silva Bilegeya said: Bei ni siri yako? Click to expand... Kwa maelezo zaidi piga simu