kiwanja kinauzwa mwanza

SUPERUSER

JF-Expert Member
Jun 11, 2011
960
304
kiko kata ya buswelu-ilemela,size ni 15 kwa 30..kimepimwa,bei 4mil,hamna dadali..ni pm for more info
 
Superuser, buswelu ni kubwa, kama vipi ongeza maelezo ya sehemu hicho kilipo. Mi napajua buswelu na pia naweza kuwa interested kufanya biashara iwapo nitaona kipo sehemu nzuri. Nipe maelezo ya sehemu kilipo then will later come back to you for business.
 
Superuser, buswelu ni kubwa, kama vipi ongeza maelezo ya sehemu hicho kilipo. Mi napajua buswelu na pia naweza kuwa interested kufanya biashara iwapo nitaona kipo sehemu nzuri. Nipe maelezo ya sehemu kilipo then will later come back to you for business.

kipo mtaa wa kigara,kata ya buswelu mkuu
 
Kata ya kigara?, ndo maeneo gani hayo?. Mi nilidhani ulivyosema kimepimwa nikajua pengine ni hivi viwanja vya buswelu alimaarufu kama wilayani. Sa hicho kiwanja chako kimepimwa na kipo ndani ya plan ya manispaa ya ilemela au ndo vile viwanja vya skwatazi?. Maana unasema kimepimwa na kinajulikana na uongozi wa kata. Usichoke mzee hebu endelea kutupa maelezo zaidi.
 
Kata ya kigara?, ndo maeneo gani hayo?. Mi nilidhani ulivyosema kimepimwa nikajua pengine ni hivi viwanja vya buswelu alimaarufu kama wilayani. Sa hicho kiwanja chako kimepimwa na kipo ndani ya plan ya manispaa ya ilemela au ndo vile viwanja vya skwatazi?. Maana unasema kimepimwa na kinajulikana na uongozi wa kata. Usichoke mzee hebu endelea kutupa maelezo zaidi.

ndio hivyo vya buswelu kaka,kigara ndo mtaa kilipo.
 
Ok, anyway ufafanuzi wa mwisho, unajua nini mi nipo serious mkubwa usichoke. Kigara bado nashindwa kupatambua. Hebu niambie kipo karibu na wapi kati za hizi sehemu za buswelu wilayani. Ccm kule juu, voda yaan mbele ya ccm, karibu na ofisi za manispaa, hapa katikati mitaa ya kabwalo, mitaa ya kituo cha daladala kwa mwarabu au kipo karibu na sehemu ipi inayojulikana?. Kama kimepimwa ulipewa ile offer kudhibitisha kwamba hicho kiwanja ni mali yako na si vinginevyo. Nikishajua mahari kilipo na uhalali wake kwako nitakucheck tuanze biashara.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom