BeiNauza kiwanja mwanza maeneo ya bwiru kwa maelezo zaidi nichekiView attachment 1624435View attachment 1624436
Milioni sabini
Nakupa contact zangu unicheki
Oktukucheki vipi mkuu?
Maana naona kama umetuzilia tangazo ..
binafsi nafikir ungeweka hata ukubwa wa kiwanja, upatikanaji wa huduma za jamii kama Barabara, umeme
pia jinsi ya kukucheki iwe namba ya simu,email au vinginevyo.
ni mtazamo wangu tu mkuu.
