Kiwanja Kinauzwa Mwanagati, SQM 624

Kiwanja Kinauzwa Mwanagati, SQM 624

Shakir

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2012
Posts
1,735
Reaction score
2,152
Kiwanja kinauzwa kiko Mwanagati,
Kimepimwa katika viwanja vya mradi vya Serikali.
Kiwanja kina ukubwa wa 624-Sqm.
Bei ni Tshs 16Mil (TZS 16,000,000/=) na maongezi yapo.
Mimi ni Mwenye Kiwanja,
Contact : 0787 504 047

Mwanagati ni wapi.
Barabara kuu ya kukufikisha Mwanagati ni ile inayoingilia Banana, kupitia Kipunguni na Kitunda. Alama kubwa ni Shule ya Sekondari Mzinga. Huko kuna eneo lililopimwa chini ya Mradi wa Viwanja 20,000. Kuna makazi yanayokuja juu kwa kasi na tayari kuna huduma nyingi muhimu. Pia kuna barabara inayotokea Tandika ambayo kwa wanaofika maeneo ya City Centre ni rahisi zaidi.

Kwa ujumla mandhari hapa ni tambarare, udongo unaotawala ni kichanga. Kuna barabara za mitaa zilizowekwa wakati wa upimaji, na maji yanapatikana kwa kudrill ardhi wastani wa mita 60. Maji yanayopatikana ni baridi. Ni eneo ambalo nyakati za jioni, kuna mkondo wa upepo unaopita na bila shaka kwa wale wanaopenda utulivu … mbali na kelele za magari, huku watapapenda.
 
Napajua pako vizuri sana,sema tu vp utapoa kidogo,mimi nipo hapo Kinyantila
 
Kiwanja kinauzwa kiko Mwanagati,
Kimepimwa katika viwanja vya mradi vya Serikali.
Kiwanja kina ukubwa wa 624-Sqm.
Bei ni Tshs 16Mil (TZS 16,000,000/=) na maongezi yapo.
Mimi ni Mwenye Kiwanja,
Contact : 0787 504 047

Mwanagati ni wapi.
Barabara kuu ya kukufikisha Mwanagati ni ile inayoingilia Banana, kupitia Kipunguni na Kitunda. Alama kubwa ni Shule ya Sekondari Mzinga. Huko kuna eneo lililopimwa chini ya Mradi wa Viwanja 20,000. Kuna makazi yanayokuja juu kwa kasi na tayari kuna huduma nyingi muhimu. Pia kuna barabara inayotokea Tandika ambayo kwa wanaofika maeneo ya City Centre ni rahisi zaidi.

Kwa ujumla mandhari hapa ni tambarare, udongo unaotawala ni kichanga. Kuna barabara za mitaa zilizowekwa wakati wa upimaji, na maji yanapatikana kwa kudrill ardhi wastani wa mita 60. Maji yanayopatikana ni baridi. Ni eneo ambalo nyakati za jioni, kuna mkondo wa upepo unaopita na bila shaka kwa wale wanaopenda utulivu … mbali na kelele za magari, huku watapapenda.


Kaka, Milioni 16 Mwanaghati? Napewa na mwanamke wa kuishi naye nini?
 
Napajua pako vizuri sana,sema tu vp utapoa kidogo,mimi nipo hapo Kinyantila

Bei nmekuambia inazungumzika Mkuu BabaC.
Waweza kunipa offer yako kwa PM
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom