K Kingamkono Member Joined Nov 10, 2011 Posts 22 Reaction score 0 May 7, 2012 #1 Kiwanja kinauzwa kipo pembezoni mwa Barabara kuu ya Moshi - Arusha, kinanyumba ambayo haijakamilika (ipo kwenye lenta) kinafaa kwa shughuli za biashara na makazi kwa mawasiliano piga 0783-740777 au 0712022399
Kiwanja kinauzwa kipo pembezoni mwa Barabara kuu ya Moshi - Arusha, kinanyumba ambayo haijakamilika (ipo kwenye lenta) kinafaa kwa shughuli za biashara na makazi kwa mawasiliano piga 0783-740777 au 0712022399
Angel Msoffe JF-Expert Member Joined Jun 21, 2011 Posts 6,781 Reaction score 1,658 May 7, 2012 #2 Weka mambo hadharani, bei gani? Wengine huku madalali
L LAT JF-Expert Member Joined Nov 20, 2010 Posts 4,400 Reaction score 1,317 May 7, 2012 #3 moshi arusha road kwa moshi ni kuanzia let say kibosho road mpaka sango ... semani wapi hapo ... ukubwa, kina hati n.k
moshi arusha road kwa moshi ni kuanzia let say kibosho road mpaka sango ... semani wapi hapo ... ukubwa, kina hati n.k
K Kingamkono Member Joined Nov 10, 2011 Posts 22 Reaction score 0 May 7, 2012 Thread starter #4 Angel Msoffe said: Weka mambo hadharani, bei gani? Wengine huku madalali Click to expand... Tsh 30,000,000/= unakaribishwa size 20x22m
Angel Msoffe said: Weka mambo hadharani, bei gani? Wengine huku madalali Click to expand... Tsh 30,000,000/= unakaribishwa size 20x22m
K Kingamkono Member Joined Nov 10, 2011 Posts 22 Reaction score 0 May 7, 2012 Thread starter #5 Maeneo ya Kibosho road hati ipo- unakaribishwa