Kiwanja kinauzwa,Morocco Dar es salaam

Kiwanja kinauzwa,Morocco Dar es salaam

Dalali_wa_kimataifa

Senior Member
Joined
Apr 16, 2025
Posts
116
Reaction score
103
#plotforsale

Kiwanja kinauzwa

Location moroco

Sqm; 2,426

Price; $Million 1.5 negotiable

Hati miliki ipo.

Ni kizuri kwajili ya biashara

Kiwanja cha2 kutoka lami

🇹🇿Call/WhatsApp +255758844717

Polish_20250621_191223580.jpg
 
Hiyo Hela unanunua finished houses au apartment zaidi ya 3 either USA, south Africa au Dubai for business
 
Hiyo Hela unanunua finished houses au apartment zaidi ya 3 either USA, south Africa au Dubai for business
Bongo sijui hizi bei wanatoaga wapi... Yaani unakuta kabisa kiwanja dar kinathamani kuliko nyumba London, U.K, Dubai... Wakati hilo jengo hapo pembeni halina hata wapangaji
 
Madalali huwa wanachelewesha sana biashara za watu.

Huwa nashindwa kuelewa sijui dalali ana uchungu na mali kuliko mwenye mali mwenyewe ama vipi?

Pesa uliyoandika mtu ananunua finished apartment Mbezi Beach, Masaki ama jengo la biashara Kariakoo lakini hapa eti ni bei ya kiwanja tu.
 
Bongo sijui hizi bei wanatoaga wapi... Yaani unakuta kabisa kiwanja dar kinathamani kuliko nyumba London, U.K, Dubai... Wakati hilo jengo hapo pembeni halina hata wapangaji
Yani plot inauzwa bilion 4 Tsh


Ndio maana wakijenga apartment hapo unakuta Bei za kupangisha zinakuwa juu sana. Kwasababu gharama zinakuwa juu mno.


Hiyo Hela ukienda Marekani unanunua majumba ya kufa mtu. Tena kwenye miji mizuri kabisa yenye sewage system nzuri , umeme na maji uhakika , sio hapo makelele ya Bodaboda na maji taka
 

Attachments

  • Screenshot_20250622-082013.png
    Screenshot_20250622-082013.png
    1.8 MB · Views: 18
  • Screenshot_20250622-081948.png
    Screenshot_20250622-081948.png
    1.5 MB · Views: 19
Yani plot inauzwa bilion 4 Tsh


Ndio maana wakijenga apartment hapo unakuta Bei za kupangisha zinakuwa juu sana. Kwasababu gharama zinakuwa juu mno.


Hiyo Hela ukienda Marekani unanunua majumba ya kufa mtu. Tena kwenye miji mizuri kabisa yenye sewage system nzuri , umeme na maji uhakika , sio hapo makelele ya Bodaboda na maji taka
Udalali unaongeza gharama
 
Yani plot inauzwa bilion 4 Tsh


Ndio maana wakijenga apartment hapo unakuta Bei za kupangisha zinakuwa juu sana. Kwasababu gharama zinakuwa juu mno.


Hiyo Hela ukienda Marekani unanunua majumba ya kufa mtu. Tena kwenye miji mizuri kabisa yenye sewage system nzuri , umeme na maji uhakika , sio hapo makelele ya Bodaboda na maji taka
Ndiyo maana kasema ya biashara. Hizo nyumba hapo juu utapangisha kwa shilingi ngapi na return yake baada ya muda gani
 
Back
Top Bottom