Kiwanja kina ukubwa wa 22×20 kipo Kibamba Hospital mtaa wa Mloganzila(Mji Mpya).Bei yake ni 5.5M.Maji ya Dawasco yapo karibu na yanatoka 24/7 na umeme ni wa kuvuta kwenye nguzo, pia kuna umbali wa 2km toka Halimashauri ya Ubungo na 2km mpaka Hospital ya Mloganzila.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app