John Gelas
Senior Member
- Apr 25, 2012
- 168
- 7
Kiwanja kinauzwa kipo kawe dar bajet mil 10 ad ishirini ina depend na ukubwa wa kiwAnja unachokiitAj wasiliana nami Apa wekeza Ardhi ndio dili 0719474102
Kiwanja kinauzwa kipo kawe dar bajet mil 10 ad ishirini ina depend na ukubwa wa kiwAnja unachokiitAj wasiliana nami Apa wekeza Ardhi ndio dili 0719474102
Kiwanja kinauzwa kipo kawe dar bajet mil 10 ad ishirini ina depend na ukubwa wa kiwAnja unachokiitAj wasiliana nami Apa wekeza Ardhi ndio dili 0719474102
KiwAnja n kikubwa sana inategemea na saiz ya kiwanja unachoitAj for more info fika kawe eneo la tukio ujioneeHivi ukiweka ukubwa wa kiwanja wenye kuambatana na bei ni dhambi?
KiwAnja lakin inategemea na ela yako ndo nakukatiaHivi kwa nini usitulie; ukatengeneza tangazo zuri lenye kujitosheleza??? unauza kiwanja au viwanja??
Kawe ipi unayoongelea usuje uzia watu viwanja vya NHC
Tanganyika Packers??KiwAnja n kikubwa sana inategemea na saiz ya kiwanja unachoitAj for more info fika kawe eneo la tukio ujionee
Vipo lugalo jeshini?
Kawe mzimuni!!Mkuu kawe kubwa kawe ipi unayozungumzia Ukwamani, Mikoroshini, Hosteri, kwa Joseph, Kawe mwisho, udoweni au Kambini, unazungumzia kawe ipi faster nije?
Mtoa mada,dalali kanjanja usiingize watu mjini,kawe ipi unauza hivyo viwanja vya 10mils? Au unataka uuze Tanganyika packers kwa gwajima? Usije uza lile pori la bondeni eneo la jeshi.