detected
Senior Member
- Mar 17, 2017
- 143
- 130
Nauza kiwanja kinachopatikana Itezi Mbeya.
SIFA ZA KIWANJA
1. Kimepimwa na hati ipo.
2. Umeme hauhitaji nguzo au nguzo moja ukihitaji.
3. Nimeweka msingi wa mawe wa nyumba (Trip 9).
4. Mashimo mawili ya choo yameshajengwa kabisa (Kubwa la mawe na dogo la tofali za block).
5. Kina ukubwa wa Sqm 650.
6. Ramani iliyokuwa inajengwa nitaitoa kwa mnunuzi kama akipenda kuendeleza.
MUUZAJI
Ni mimi mwenyewe, hakina dalali.
MAWASILIANO
0710613913 (Calls Only)
0764615124 (Calls na WhatsApp)
SABABU ZA KUUZA
Nimehama kimakazi Mbeya.
GHARAMA
Kiwanja pamoja na vitu vilivyofanyika ni Tsh 10m.
Kuona kiwanja ni bure kabisa.
Karibuni sana.
SIFA ZA KIWANJA
1. Kimepimwa na hati ipo.
2. Umeme hauhitaji nguzo au nguzo moja ukihitaji.
3. Nimeweka msingi wa mawe wa nyumba (Trip 9).
4. Mashimo mawili ya choo yameshajengwa kabisa (Kubwa la mawe na dogo la tofali za block).
5. Kina ukubwa wa Sqm 650.
6. Ramani iliyokuwa inajengwa nitaitoa kwa mnunuzi kama akipenda kuendeleza.
MUUZAJI
Ni mimi mwenyewe, hakina dalali.
MAWASILIANO
0710613913 (Calls Only)
0764615124 (Calls na WhatsApp)
SABABU ZA KUUZA
Nimehama kimakazi Mbeya.
GHARAMA
Kiwanja pamoja na vitu vilivyofanyika ni Tsh 10m.
Kuona kiwanja ni bure kabisa.
Karibuni sana.