Kiwanja kinauzwa haraka Gezaulole, Kigamboni

Kyatsvapi

JF-Expert Member
May 15, 2009
317
196
Wakuu,
Kuna kiwanja kinauzwa kwa haraka Gezaulole. Kiwanja hicho kina sifa zifuatazo;
1. Kimepimwa na kina offer.
2. Kina ukubwa wa 1,287sqM.
3. Bei yake ni shilingi milioni kumi na sita (16,000,000/=). Hii ni bei ya kuuzia. Dalali hatakiwi.
4. Kama unakihitaji, tafadhali nipm.

Barikiwa.
 
Wakuu,

Kimeshauzwa. Nashukuru kwa wote pamoja na wale waliokejeli.


Barikiwa.
 
Nina Milioni 2 ambayo siitumi Leo Wala Kesho na Sioni Umuhimu wa hiyo hela kuendelea kukaa Bank.

Mwenye Kiwanja chake naomba aniuzie. Kifikike kwa Gari.

Nakusubiria Inbox.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…