Wakuu,
Kuna kiwanja kinauzwa kwa haraka Gezaulole. Kiwanja hicho kina sifa zifuatazo;
1. Kimepimwa na kina offer.
2. Kina ukubwa wa 1,287sqM.
3. Bei yake ni shilingi milioni kumi na sita (16,000,000/=). Hii ni bei ya kuuzia. Dalali hatakiwi.
4. Kama unakihitaji, tafadhali nipm.
Barikiwa.
Kuna kiwanja kinauzwa kwa haraka Gezaulole. Kiwanja hicho kina sifa zifuatazo;
1. Kimepimwa na kina offer.
2. Kina ukubwa wa 1,287sqM.
3. Bei yake ni shilingi milioni kumi na sita (16,000,000/=). Hii ni bei ya kuuzia. Dalali hatakiwi.
4. Kama unakihitaji, tafadhali nipm.
Barikiwa.